Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 15,637
- 22,580
Unataka kupata ugonjwa ambao huwapata wanafunzi wa kike, hasa shule za boarding, ule wa kucheka cheka.Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..
Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...
Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..
Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..
Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...
Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..
Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
Rudia tenaAtafute hela, aache ujinga.
Safi! We cheza pasi zako tu mkuu ila kumbuka kutumia kinga, hilo gape la in & out kuja kwako ghetto si salama hujui huko akiendaga anakutana na wangapi kabla hajakurudia wewe tena, so play safe nigga..Dah umenikumbusha mbali September 2021 nilipata manzi mmoja Mzuri tu. Kwao ni huko Katavi. Akanipa show mara 4 hivi but kuna kipindi akija geto akawa anikazia hataki kunipa tunda . Japo nilimpenda aliwahi kuniambia live kwamba bado hajaanza kunipenda labda aanze kwanza kunithamini na kunijali. Nikaona fresh we nipe tunda tu kunipenda so lazima. Siku flani mwaka 2022 akaja geto but akanikazia kunipa kidude. Mwanenu nilinuna ile mbaya nikaamua kumkataa kijanja isitoshe ye nae akanishit akaniambia ye na mi hatuendani.
Juzi kati bwana, mwezi wa nne kanicheki bwana eti amenimiss. Poa tu sisi mameni hatukatai kipochi manyoya
Sikiliza hii nyimbo itakutoa upweke... [emoji23][emoji23]Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..
Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...
Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..
Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
Hao wa 30's wadediketie haka ka wimboA lot of women wako Ivo now enzi nipo chuo walikua wanakaa mbali kisa sina chapaa na sio sharobaro baada ya kumaliza unalamba ajila na maisha kuwa safi apo sharobaro kachoka anakuja kukwambia hukuwa serious kipindi kile
Finally ya mwanamke ni miaka 30 baada ya apo kwisha.....