Naomba ushauri ndg zangu

Naomba ushauri ndg zangu

John kirua

Senior Member
Joined
Dec 7, 2021
Posts
143
Reaction score
108
Habari ndg zangu samahan naomba ushauri nilikuwa kazin shift ya usiku nimeamka asubui nimeona uvimbe kwenye shingo yangu itakuwa ni nn maana leo siku 4 uvimbe unakuja na kupotea baada ya dk unarudi tena?
 

Attachments

  • PXL_20250726_102312767~2.jpg
    PXL_20250726_102312767~2.jpg
    264.2 KB · Views: 21
Back
Top Bottom