Mkuu inaonekana na ww ni mteja wa CCMMods nihamishieni thread jukwaa husika.
Ndugu zangu salam. Nataka ninunue godoro la kulalia mim i mwenyewe, nataka godoro jipya Size 5/6 nchi 8 , nimepitia thread za magodoro hum nimeona nyingi ni za zamani sana hivyo nikafikiri ninahitaji currently views kwamba kwa sasa ni magodoro gani bora na imara zaidi?. Bajet 200,000-250,000. Mahali ni Mbeya.
Ahsanteni.
Umeandika nchi badala ya inchiKwa nini mkuu?
Mkuu Tanfoam Arusha yapo hata Mbeya.Mimi nlikuwa ni muza magodoro hapo nyuma agizia daresalam godoro la tandform arusha hutajutia hela yako ulio itoa ukishindwa nunua godoro la (dodoma quality form limited) ukishindwa tena nunua super banco hayo magodoro hutajutia hela yko na niwashauri nunua godoro lenye foronya ya kawaida au ambalo halina foronya achana na maurembo godoro lililo dizainiwa na dhani umenielewa.
Mkuu Tanfoam Arusha yapo hata Mbeya.Mimi nlikuwa ni muza magodoro hapo nyuma agizia daresalam godoro la tandform arusha hutajutia hela yako ulio itoa ukishindwa nunua godoro la (dodoma quality form limited) ukishindwa tena nunua super banco hayo magodoro hutajutia hela yko na niwashauri nunua godoro lenye foronya ya kawaida au ambalo halina foronya achana na maurembo godoro lililo dizainiwa na dhani umenielewa.
Spring mattress yanaendaje mkuu beiGo for spring mattress.
Sent from my iPhone using JamiiForums
inchi 12 (6×6)bei gani kwa DarNunua super banco nchi 10
Bei 260000 hutajutia
Ndio yana tofauti,huoni tu hata majina yako tofauti?