Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,055
- 2,673
- Thread starter
- #121
AsanteKwanza Pole lakini binafsi naona hata wewe una makosa from the beginning kwanini umruhusu yeye ndo akupangie ilihali wewe ndo baba mwenye nyumba? Kitendo cha wewe kila unapokuwa na uhitaji uanze kujieleza kwake tayari kimepunguza kitu flani kwako
Uamuzi upo mikononi mwako ukitaka anza sasa kuya badilisha toka kwwnye huo utumwa mkalishe chini mpe mipango mipya namna unataka mambo yaende alafu kuwa serious kama hayupo tayari piga chini usiishi kuwafurahisha watu au kwakudhani watu wtakuchukuliaje
Maisha yenyewe ndo haya utaishi nq stress mpaka lini? Ma single matha wana asili ya upole huyo umempatia wapi mpaka akupelekeshe kiasi hicho? Punguza upole na wewe chukua hatua sasa onyesha utofauti .......