Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,664
- 112,817
Sasa tongozo tu mzee baba unataka kubustiwa utagegeda kweli????Mkuu ungejua! Bt kiufupi, mi ninachotaka kwa sasa ni wakujenga nae FAMILIA na si vinginevyo
Sasa tongozo tu mzee baba unataka kubustiwa utagegeda kweli????Mkuu ungejua! Bt kiufupi, mi ninachotaka kwa sasa ni wakujenga nae FAMILIA na si vinginevyo
Yes hakuna sheria hiyo namimi sijasema kuwa ni lazima kuonjana ila ni vizuri kujua kama yaliyomo yamo.Anaweza akaoa kwanza Halafu asali akaibugia baadae. Hakuna sheria popote inayotaka "kuonjana" kabla ya ndoa
Mkuu, huoni kwamba nikitumia muda mrefu bila kumwambia lengo naweza kupotezaMe nadhan ni vyema ukajenga ukaribu nae kwa muda mrefu ili uweze kujiridhisha kwanza kabla ya kuweka wazo lako tarajiwa so ukizingatia hili sidhan kama mambo unayotarajia yataenda kombo
Akhasante saana Mkuu, nshaanza kufunguka na Alhamudulillah kaanza kunielewa.Usiogope mkuu yeye n mtu mzima na wewe pia.Mpigie mueleze nia yako ya kutaka kuanzisha safari ya kwenda ndoani naye atakuelewa.
Kukataliwa si dhambi sisi ni wanaume na kuna kupata na kukosa.
Ila make sure una chimba file lake kitaa kwao huko usije lishwa tango mwitu.
Usemacho ni kweli Mkuu, na hicho ndoo moja ya sababu ya mimi kuomba MAWAZO na USHAURI kwenuMwanamke atabehave the way Unavyomchukuliaa si jinsi alivyoo...!! sasaa wewe jikute unamuonaa mtakatifu Sana akati humjui vizuri... Me nlipata Kama huyoo ni mshikaa dini balaa ilaa ndani ya week tu tayariii kazi imeishaa...