Bora u google tu humu uwezi pata ushauri wa maana ..
Subiri mpaka uende huko aliko.Nipo mbali nae, ninachohitaji ni kujua mazingira ambayo naweza kuyatengeneza ili kuepuka kutumia nguvu kubwa
Subiri mpaka uende huko aliko. Kama una mchecheto sana, fanya hima uende.Mkuu, vipi kuhusu kuwasiliana nae na kumjulia hali
Anaweza akaoa kwanza Halafu asali akaibugia baadae. Hakuna sheria popote inayotaka "kuonjana" kabla ya ndoaYan ushaweka mawazo ya kuchumbia hata hujaonja asali na mpo mbali nyie. Kwa vyovyote vile utakula za uso tu. Je kama yeye hahitaji kuolewa.? Au kama ana mtu.?
Kwa hiyo mtongozo unataka kuufanyia kwenye simu!!??? Si jambo jema. Onyesha uko serious kwa kuzungumza nae ana kwa ana. Nenda aliko, usifikirie sana kuhusu gharama. Tunapoteza sana hela katika harakati zetu za maisha. Ifanye hii pia kuwa ni sehemu ya harakatiNipo mbali nae, ninachohitaji ni kujua mazingira ambayo naweza kuyatengeneza ili kuepuka kutumia nguvu kubwa
Kazi kwake Mkuuasipofuata huu ushauri yy ni kichwa cha panzi
Nshatoka Mkuu
Miss you badly....Subiri mpaka uende huko aliko. Kama una mchecheto sana, fanya hima uende.
Akhasante saana Mkuu. USHAURI waako ntaufanyia kazi na if God wish ipo siku ntakuja na mrejesho humKwa hiyo mtongozo unataka kuufanyia kwenye simu!!??? Si jambo jema. Onyesha uko serious kwa kuzungumza nae ana kwa ana. Nenda aliko, usifikirie sana kuhusu gharama. Tunapoteza sana hela katika harakati zetu za maisha. Ifanye hii pia kuwa ni sehemu ya harakati
KaribuAkhasante saana Mkuu. USHAURI waako ntaufanyia kazi na if God wish ipo siku ntakuja na mrejesho hum