Naomba ushauri mpenzi atishia kuniacha

Naomba ushauri mpenzi atishia kuniacha

vallei

Member
Joined
Aug 3, 2014
Posts
15
Reaction score
3
Mimi ni binti wa miaka 20.

Nina mpenzi wangu wa miezi nane. Yeye ni bikra lakini mimi sio. Sasa inaleta shida nilipomwambia nimesha sex mara Sita na wanaume watatu tofauti.

Basi ni manyanyaso anatishia kuniacha.

Kaka na dada zangu naomben ushauri.

Mimi nampenda kweli na yeye anasema ananipenda lakini hilo swala apo la kusex Mara Sita linamchnganya akili sasa ameniwekea mashaka.

Mimi nina uhakika wa afya yangu niko salama kabisa.

Nifanyeje?
 
Hold on!! Yani mwanaume ndio bikira? Sa si ndio vzr umpe darasa najua kwa wanaume hao 3x2=6 tayari una ujuzi wa kumfundisha huyo kigoli wa kiume. Mwambie aache wivu
 
Hold on!! Yani mwanaume ndio bikira? Sa si ndio vzr umpe darasa najua kwa wanaume hao 3x2=6 tayari una ujuzi wa kumfundisha huyo kigoli wa kiume. Mwambie aache wivu

Haniamin yan ni manyanyaso...Anahisi sipo salama
 
Kamwe usimwambie mtu ukweli wako wote atakuja kutumia kama silaha dhidi yako kuna mambo yanabaki kuwa yako binafsi

Asante sana kakaangu. Kwahyo hata Kama imefka hatua ya ndoa bado nisiseme ukwel wote??
 
Asante sana kakaangu. Kwahyo hata Kama imefka hatua ya ndoa bado nisiseme ukwel wote??

Kuna vitu milele na milele vinabaki kuwa vyako binafsi hasa vya past trust me watu huwa wanapenda kudanganywa unakuwa mkweli unaonekana malaya so what for
 
anaona wivu unajua zaidi yake ila usiumie roho, anaonekana hajui anachotaka huyo jamaa mwambie bikra haidumishi ndoa
 
Haaa!!!, Mbona haujatumika sana mara 6 tu?. Tatizo munasumbuka na vitoto vidogo ambavyo bado vinanuka maziwa, ikitokea shida kidogo mpaka kakaulize nyumbani. njoo kwa CC wazee hautuoni?. Mwambie na yeye a SEX mala 6. ili mulingane.
 
Daaah na wewe dada yetu kiboko!Sex mara 6 na wanaume watatu equivalent sex mara 2 kwa kila mwanamme!!

Jamaa kachanganyikiwa sababu ya lowest rate ya ku keep hao jamaa zao!Yaani mkifanya mapenzi mara 2 tu unawaacha!

Je huyu mpya utafanya nae mara ngapi kabla hujamuacha?Hapo ndipo anapo tatizika
 
Mkuu..
Mimi ni mwanaume,tena rijali kabisa mwenye nguvu zake kama catapilar. Nna miaka 24,idad ya galz nliotembea nao adi sasa sikumbuki hivyo kuniwia ngumu kukumbuka nmesex mara ngapi.
Njo kwangu tumalizie ii ngwe ya kipindi cha pili,ambayo kwa wanamichezo wanaiita ni ya lala salama,dakika 45 za mwsho tukiitikia mbiu ya Tulizana..!!
Karibu
 
Inavyo onekana huo jama sio bikra, atakuaje na wivu nakitu asicho kijua uzuri au ubaya wake? La pili, asikuzingue, nawewe mwambie basi tuachane kila moja a lale mbele. Na nje angua yeye kasha fanya nawewe bado, angekuacha? Muulize yayo maswali. Sasa ni zama za ukweli na uwazi. Ni vema ulivyo mwambia ukweli wako, na kama yeye anapenda kwambiwa uongo, achana nae.
 
kama anakutishia wee fanya kweli, mmwage mazima.
 
Daaah na wewe dada yetu kiboko!Sex mara 6 na wanaume watatu equivalent sex mara 2 kwa kila mwanamme!!

Jamaa kachanganyikiwa sababu ya lowest rate ya ku keep hao jamaa zao!Yaani mkifanya mapenzi mara 2 tu unawaacha!

Je huyu mpya utafanya nae mara ngapi kabla hujamuacha?Hapo ndipo anapo tatizika

!
!
hahahahaha........kudaaaadeki
 
Back
Top Bottom