BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
aiseeSisi wanawake tumeumbiwa kusamehe na kusahau hasa kwa mwanaume alieomba msamaha wa dhati kabisa, huyo mama sidhani Kama anaweza kataa kumsaidia mumewe.
mbarikiwe sana....
maana angekula alikopeleka mboga!!!!!!