Naomba ushauri kwa hili tatizo langu

Naomba ushauri kwa hili tatizo langu

Geofrey katale

New Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
2
Reaction score
0
nina mpenzi wangu ninapo mueleza ukweli wangu,jinsi gani ninavyo mpenda anahisi namdanganya,wakati huohuo cna m2 kwamba namficha ili yy asijue
 
^^
Jaribu kumweleza ukiwa unalia, inaweza ikasaidia
^^
 
Endelea kumweleza tena wakati mwingine kwa vitendo atakuelewa tu, inaonesha alishaumizwa huyo/alishaumwa na nyoka.......
 
Huwa unamwambia tu, au maneno huwa yanaambatana na vitendo?
 
nina mpenzi wangu ninapo mueleza ukweli wangu,jinsi gani ninavyo mpenda anahisi namdanganya,wakati huohuo cna m2 kwamba namficha ili yy asijue

jaribu kumuonesha kwa matendo zaidi ya maneno! Matendo yazidi maneno coz maneno ata kwenye kanga yapo!
 
nina mpenzi wangu ninapo mueleza ukweli wangu,jinsi gani ninavyo mpenda anahisi namdanganya,wakati huohuo cna m2 kwamba namficha ili yy asijue
either unamweleza ukweli au utamweleza uongo haimaaanishi kuwa atayatii mawazo yako...na kama ni mpenz wako kama unavysema tatizo liko wap?kuwa bize na ishu nyingine sasa. si mpenz wako tayar au?
 
Tatizo mapenzi ya siku hizi uongo mwingi...kwahiyo hata kama utasema ukweli mtu anachukulia uongo...
 
nina mpenzi wangu ninapo mueleza ukweli wangu,jinsi gani ninavyo mpenda anahisi namdanganya,wakati huohuo cna m2 kwamba namficha ili yy asijue
yy labda anampenz mwingine na si lazima akwambie best way ni kukwambia tu kuwa unamdanganya
 
mkuu achana nae huyo , kama haamini hasikuumize akili...husikubali kuwa mtumwa!.....eti 'utoe chozi!' mapenzi banah!?
 
Ulitaka akuoneshe nini kujua anakuamini? Ati kila ukimwambia, mwoneshe filam nzuri zaidi ya hiyo
 
Action talk more than word....
Kama ushamwambia na vitendo hakuamin means hakupend au anakutest japo ni ngumu jaribu kumchunia no text or call uone reaction yake .wewe mwanaume usilalamikie penzi .tumia akili zako zaid ya hisia
 
Mpende kwa vitendo, mfano, Kuwa karibu nae kwa kufanya nawasiliano ya mara kwa mara(kama yupo mbali) mtambulishe kwa narafiki wa karibu yako, toka nae out.
 
Hakuamnini kwakuwa humgegedi akaridhika hivyo anahisi unademu mwingine, jaribu kunyonya k yake uone atakavyokupenda.

nina mpenzi wangu ninapo mueleza ukweli wangu,jinsi gani ninavyo mpenda anahisi namdanganya,wakati huohuo cna m2 kwamba namficha ili yy asijue
 
Back
Top Bottom