othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 5,674
- 9,075
Au pengine kashaliwa....Sms na kukataa kukupa namba, ni ushahidi tosha kuwa mwl akikaza atamkula tu
Aangalie vizuri tarehe za hizo sms pengine hizo za kumkataa ticha ni za kipindi Cha nyuma na ndio ambazo zimeachwa kwenye simu Kama camouflage.
Zile za kumsifia ticha kuwa anamkuna vizuri na miahadi ya kubanduliwa tena ndio hizo ambazo zimefutwa kwa kisingizio Cha simu yake ni ndogo haihifadhi sms nyingi.
Tafuta mchepu au kama unae endelea kumpa backup kiasi flani inasaidia kupunguza mawivu ya kijingajinga.