Naomba ushauri kuhusu huyu mwanamke

Naomba ushauri kuhusu huyu mwanamke

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,121
Reaction score
1,981
Mwishoni mwa mwaka 2019 nilikuwa kwenye mahusiano hot ya kimapenzi yenye ndoto za kuja kuishi pamoja na huyu mwanadada

Mimi nikiwa mwajiriwa wa serikali yeye akiwa kwenye taasisi za ukopeshaji ,baadae akahamishwa na taasisi yake kwenda mkoa jirani,hata hivyo mapenzi yetu yalikuwa ya moto

Miezi michache baadae akaanza kuonyesha dalili za kutaka kiniacha,mara hajibu sms kwa wakati,hapokei sim,baadae nikachoka moyo binafsi ila nikafanya uchunguzi nikagundua ana mahusiano mengine na mtu mwingne nikaamua kuachana naye rasimi

Miezi 3 iliyopita nikiwa bize na harakati zangu,kuchek whasap nikakuta sms yake ikinijulia hali nami nikajibu fresh,baada ya siku tatu akanipigia sim akiniomba msamaha na maelezo kibao,sikumwelewa akamtumia rafiki yangu wa karibu akalialia akanishawishi basi nikamwambia nipe muda,kadri siku zinavyoenda mawasiliano yakawa ya karibu zaidi

Basi kwa kuwa moyo wangu ulikuwa unampenda huyo mwanamke ikabidi nianze kurudisha mahusiano

Lakini baada ya mwezi mmoja kupita nikaingia whasap kuperuzi nikakuta status yake ina watoto mapacha,nikamuuliza vipi wanao au akanijibu ndio nilijifungua mwezi uliopita

Alivyoniambia hivyo moyo wangu uliuma hatari sikumtafuta tena wala sikupokea simu yake wala sikujibu sms zake

Sms aliyonitumia ya mwisho ikasema hivi" Nilijua hunipendi tangu awali,huna mapenzi ya dhati,ungekuwa unanipenda upendo wako ungedhihirika kwenye kipindi hiki kigumu cha maisha yangu ,kumbuka hawa ni malaika tu hawana kosa ,ndio nimefanya makosa makosa kwani wewe huwezi ukafanya makosa ya kuzaa nje? "

Ila kimoyo moyo nami pia nimezaa nje mtoto mmoja

Wadau naomba ushauri
 
Hata yeye hakupendi sms yake kadhihirish hilo kuwa kakutafuta umliwaze kipindi hiki kigumu cha maisha yake kisingekuwa kigumu asingekutafuta. Muache apambane na hali yake raha ale na wengine kipindi kigumu ale na wewe
 
Uko sawa kabisa Mkuu, baada ya kujazwa mimba na njemba iliyoingia mitini ndiyo akapata akili kwamba alitenda makosa kwa aliyekuwa naye kabla, vinginevyo asingeona kama alitenda makosa.
Hata yeye hakupendi sms yake kadhihirish hilo kuwa kakutafuta umliwaze kipindi hiki kigumu cha maisha yake kisingekuwa kigumu asingekutafuta. Muache apambane na hali yake raha ale na wengine kipindi kigumu ale na wewe
 
Uko sawa kabisa Mkuu, baada ya kujazwa mimba na njemba iliyoingia mitini ndiyo akapata akili kwamba alitenda makosa kwa aliyekuwa naye kabla, vinginevyo asingeona kama alitenda makosa.
Hawa viumbe ndivyo walivyo, mtu ambaye kweli kajirudi ni yule anayegundua kuwa kakosea wakati bado hajapata majanga na magumu, anayejirudi wakati wa magumu huyo ni shida tu maana hakuacha kaachwa so jamaa ni 2nd choice ila 1st choice akirudi anakuachia vumbi. Jamaa amuache avune alichopanda.
 
Hawa viumbe ndivyo walivyo, mtu ambaye kweli kajirudi ni yule anayegundua kuwa kakosea wakati bado hajapata majanga na magumu, anayejirudi wakati wa magumu huyo ni shida tu maana hakuacha kaachwa so jamaa ni 2nd choice ila 1st choice akirudi anakuachia vumbi. Jamaa amuache avune alichopanda.
Asant broo
 
Hv n kwa nn wadada wakiacha mtu hupenda kurudi. Huwa wana pima upepo au !!!!!!!!

Anyway
Na mm niliachwa mwezi sept baada ya mda alirudi, ila ukweli n kwamba mwanamke akikuacha ujue hakupendi kaa nae mbali na mm nilimzia gear hewani

Kheri yetu wanaume tutasema mm naona sijatulia bado nna mambo mengi ila sio mademu
 
Apa aiitaji ata ushauri mkuu mtu kashazalishwa mapacha siaendelee na huyo aliemzalisha Mambo ya kulea watoto wa watu haya
 
Suala si kupendana. Suala ni utayari wako kulea watoto wa wenzako. Kuwa makini na mwanamke aliye kwenye parnick ya mahusiano, kuna uwezekano mkubwa mwenye watoto atamkumbuka. Swali ni akimkumbuka atakukumbuka?
 
Mwishoni mwa mwaka 2019 nilikuwa kwenye mahusiano hot ya kimapenzi yenye ndoto za kuja kuishi pamoja na huyu mwanadada

Mimi nikiwa mwajiriwa wa serikali yeye akiwa kwenye taasisi za ukopeshaji ,baadae akahamishwa na taasisi yake kwenda mkoa jirani,hata hivyo mapenzi yetu yalikuwa ya moto

Miezi michache baadae akaanza kuonyesha dalili za kutaka kiniacha,mara hajibu sms kwa wakati,hapokei sim,baadae nikachoka moyo binafsi ila nikafanya uchunguzi nikagundua ana mahusiano mengine na mtu mwingne nikaamua kuachana naye rasimi

Miezi 3 iliyopita nikiwa bize na harakati zangu,kuchek whasap nikakuta sms yake ikinijulia hali nami nikajibu fresh,baada ya siku tatu akanipigia sim akiniomba msamaha na maelezo kibao,sikumwelewa akamtumia rafiki yangu wa karibu akalialia akanishawishi basi nikamwambia nipe muda,kadri siku zinavyoenda mawasiliano yakawa ya karibu zaidi

Basi kwa kuwa moyo wangu ulikuwa unampenda huyo mwanamke ikabidi nianze kurudisha mahusiano

Lakini baada ya mwezi mmoja kupita nikaingia whasap kuperuzi nikakuta status yake ina watoto mapacha,nikamuuliza vipi wanao au akanijibu ndio nilijifungua mwezi uliopita

Alivyoniambia hivyo moyo wangu uliuma hatari sikumtafuta tena wala sikupokea simu yake wala sikujibu sms zake

Sms aliyonitumia ya mwisho ikasema hivi" Nilijua hunipendi tangu awali,huna mapenzi ya dhati,ungekuwa unanipenda upendo wako ungedhihirika kwenye kipindi hiki kigumu cha maisha yangu ,kumbuka hawa ni malaika tu hawana kosa ,ndio nimefanya makosa makosa kwani wewe huwezi ukafanya makosa ya kuzaa nje? "

Ila kimoyo moyo nami pia nimezaa nje mtoto mmoja

Wadau naomba ushauri
Piga chini
 
Mwishoni mwa mwaka 2019 nilikuwa kwenye mahusiano hot ya kimapenzi yenye ndoto za kuja kuishi pamoja na huyu mwanadada

Mimi nikiwa mwajiriwa wa serikali yeye akiwa kwenye taasisi za ukopeshaji ,baadae akahamishwa na taasisi yake kwenda mkoa jirani,hata hivyo mapenzi yetu yalikuwa ya moto

Miezi michache baadae akaanza kuonyesha dalili za kutaka kiniacha,mara hajibu sms kwa wakati,hapokei sim,baadae nikachoka moyo binafsi ila nikafanya uchunguzi nikagundua ana mahusiano mengine na mtu mwingne nikaamua kuachana naye rasimi

Miezi 3 iliyopita nikiwa bize na harakati zangu,kuchek whasap nikakuta sms yake ikinijulia hali nami nikajibu fresh,baada ya siku tatu akanipigia sim akiniomba msamaha na maelezo kibao,sikumwelewa akamtumia rafiki yangu wa karibu akalialia akanishawishi basi nikamwambia nipe muda,kadri siku zinavyoenda mawasiliano yakawa ya karibu zaidi

Basi kwa kuwa moyo wangu ulikuwa unampenda huyo mwanamke ikabidi nianze kurudisha mahusiano

Lakini baada ya mwezi mmoja kupita nikaingia whasap kuperuzi nikakuta status yake ina watoto mapacha,nikamuuliza vipi wanao au akanijibu ndio nilijifungua mwezi uliopita

Alivyoniambia hivyo moyo wangu uliuma hatari sikumtafuta tena wala sikupokea simu yake wala sikujibu sms zake

Sms aliyonitumia ya mwisho ikasema hivi" Nilijua hunipendi tangu awali,huna mapenzi ya dhati,ungekuwa unanipenda upendo wako ungedhihirika kwenye kipindi hiki kigumu cha maisha yangu ,kumbuka hawa ni malaika tu hawana kosa ,ndio nimefanya makosa makosa kwani wewe huwezi ukafanya makosa ya kuzaa nje? "

Ila kimoyo moyo nami pia nimezaa nje mtoto mmoja

Wadau naomba ushauri
JF mods turuhusuni tuwe tunatukana kmmk maana kuna mada ukisoma unashikwa na mzuka wa kutukana .
 
Back
Top Bottom