Naomba ushauri kuhusu huyu mwanamke

Naomba ushauri kuhusu huyu mwanamke

Acha us**ng yani alikuacha akapata dume lingine limempiga mimba amezaa mapacha ndio anakutafuta umrudie na wewe et "Hata Mimi nimezaa nje" mbona unadhalilisha wanaume.
Mimi mwanamke akiniacha hata arudi kwa kutambaa simtaki
 
Mwishoni mwa mwaka 2019 nilikuwa kwenye mahusiano hot ya kimapenzi yenye ndoto za kuja kuishi pamoja na huyu mwanadada

Mimi nikiwa mwajiriwa wa serikali yeye akiwa kwenye taasisi za ukopeshaji ,baadae akahamishwa na taasisi yake kwenda mkoa jirani,hata hivyo mapenzi yetu yalikuwa ya moto

Miezi michache baadae akaanza kuonyesha dalili za kutaka kiniacha,mara hajibu sms kwa wakati,hapokei sim,baadae nikachoka moyo binafsi ila nikafanya uchunguzi nikagundua ana mahusiano mengine na mtu mwingne nikaamua kuachana naye rasimi

Miezi 3 iliyopita nikiwa bize na harakati zangu,kuchek whasap nikakuta sms yake ikinijulia hali nami nikajibu fresh,baada ya siku tatu akanipigia sim akiniomba msamaha na maelezo kibao,sikumwelewa akamtumia rafiki yangu wa karibu akalialia akanishawishi basi nikamwambia nipe muda,kadri siku zinavyoenda mawasiliano yakawa ya karibu zaidi

Basi kwa kuwa moyo wangu ulikuwa unampenda huyo mwanamke ikabidi nianze kurudisha mahusiano

Lakini baada ya mwezi mmoja kupita nikaingia whasap kuperuzi nikakuta status yake ina watoto mapacha,nikamuuliza vipi wanao au akanijibu ndio nilijifungua mwezi uliopita

Alivyoniambia hivyo moyo wangu uliuma hatari sikumtafuta tena wala sikupokea simu yake wala sikujibu sms zake

Sms aliyonitumia ya mwisho ikasema hivi" Nilijua hunipendi tangu awali,huna mapenzi ya dhati,ungekuwa unanipenda upendo wako ungedhihirika kwenye kipindi hiki kigumu cha maisha yangu ,kumbuka hawa ni malaika tu hawana kosa ,ndio nimefanya makosa makosa kwani wewe huwezi ukafanya makosa ya kuzaa nje? "

Ila kimoyo moyo nami pia nimezaa nje mtoto mmoja

Wadau naomba ushauri
Hahahaaaaaaa acha nicheke tuu
 
Acha us**ng yani alikuacha akapata dume lingine limempiga mimba amezaa mapacha ndio anakutafuta umrudie na wewe et "Hata Mimi nimezaa nje" mbona unadhalilisha wanaume.
Mimi mwanamke akiniacha hata arudi kwa kutambaa simtaki
Ndomaaana mimi sijacomment nimeona bora nicheke tu
 
Fanya mpango ukamle kimwisho mwisho, mbembelezeee kinafiki kuwa umejirudi upo naye Mleee vya hatari.Yeye ajue kuwa umerudi na kumuacha kabisa piga "mpalange" halafu kila mtu afate hamsini zake.Amekufanyia uhuni mpandie kimafia tuu apo hata kusahau kamweee na somo atakuwa amelipata.
 
Acha kuzingua Mkuu, na elimu yako yote unaona kuna subastance hapo chapa lapa pambana na maisha huyo humuwezi
 
kuna mzee aliwahi kunisisitizia jambo hili "ukiachana na mwanamke ambae si mkeo,hakikisha hurudiani nae kimapenzi" na sijawahi kurudiana na mtu,nikiacha nmeacha.... hivi nyie mnawezaje wezaje kurudiana??
 
Yani mkuu unaomba ushauri gani hapa????? Maana naona unataka kututiaa hasiraa tuu... yani hata angeandika SMS ya huruma kiasi ganii angepoteza muda wakee tuu... utaleaa mitoto hiyoo siku baba yao akijaaa anakutana na huyo demu gest anagongaa tenaa na mimba juu uje uendelee kuwaleleaaa.. HUJAWAJUA WANAWAKE VIZURII WEEE HAO SIO WA KUWACHEKEA KABISA.
 
Wewe kiazi mbatata kweli. Yaani umekuwa na mwanamke kakutoka kaenda kuliwa kavu na mbegu zikamea aliyelima kakimbia. Acha ujinga wewe eti nawe umezaa nje mpuuzi sana wewe mrudie ambaye umezaa nae halafu huyo achana nae. Utaendaje kukaa na mtu aliyekutosa. Mara nyingine uwa naona simba dume wana akili sana marufuku kukaa na mbegu ambayo sio yake. USHAURI WANGU MGUMU ACHANA NA HUYO DADA WA MAPACHA.
Kuna watu wana roho mbaya kama matope ya Rufiji dam. Pole sana asieeeeee. Omba siku ukipata mke usijekuta unalea mali ya ^Mzungu wa Pili^
 
Mimi nachukia sana kukaa na mwanamke ambaye ana mtoto mwili uwa unasisimka. Kuna dada mmoja alikuwa mwanamke wangu akatoa mimba yangu nikachukia sana akapotea akaja kurudi akiwa na mtoto wa dume mwingine. Nilishindwa kabisa kumkubali yule mtoto mwili uligoma kbs. Nikamwambia siwezi kukaa nae na yule mtoto maana alishatoa mimba yangu inakuwaje nilee mtoto wa mtu mwingine.
Nimeanza kutaka kuanza kukaribia kuamini kuwa kuna watu & wanadamu
 
Mwishoni mwa mwaka 2019 nilikuwa kwenye mahusiano hot ya kimapenzi yenye ndoto za kuja kuishi pamoja na huyu mwanadada

Mimi nikiwa mwajiriwa wa serikali yeye akiwa kwenye taasisi za ukopeshaji ,baadae akahamishwa na taasisi yake kwenda mkoa jirani,hata hivyo mapenzi yetu yalikuwa ya moto

Miezi michache baadae akaanza kuonyesha dalili za kutaka kiniacha,mara hajibu sms kwa wakati,hapokei sim,baadae nikachoka moyo binafsi ila nikafanya uchunguzi nikagundua ana mahusiano mengine na mtu mwingne nikaamua kuachana naye rasimi

Miezi 3 iliyopita nikiwa bize na harakati zangu,kuchek whasap nikakuta sms yake ikinijulia hali nami nikajibu fresh,baada ya siku tatu akanipigia sim akiniomba msamaha na maelezo kibao,sikumwelewa akamtumia rafiki yangu wa karibu akalialia akanishawishi basi nikamwambia nipe muda,kadri siku zinavyoenda mawasiliano yakawa ya karibu zaidi

Basi kwa kuwa moyo wangu ulikuwa unampenda huyo mwanamke ikabidi nianze kurudisha mahusiano

Lakini baada ya mwezi mmoja kupita nikaingia whasap kuperuzi nikakuta status yake ina watoto mapacha,nikamuuliza vipi wanao au akanijibu ndio nilijifungua mwezi uliopita

Alivyoniambia hivyo moyo wangu uliuma hatari sikumtafuta tena wala sikupokea simu yake wala sikujibu sms zake

Sms aliyonitumia ya mwisho ikasema hivi" Nilijua hunipendi tangu awali,huna mapenzi ya dhati,ungekuwa unanipenda upendo wako ungedhihirika kwenye kipindi hiki kigumu cha maisha yangu ,kumbuka hawa ni malaika tu hawana kosa ,ndio nimefanya makosa makosa kwani wewe huwezi ukafanya makosa ya kuzaa nje? "

Ila kimoyo moyo nami pia nimezaa nje mtoto mmoja

Wadau naomba ushauri
Wewe unafaaa viboko
 
Back
Top Bottom