Naomba ushauri kuhusu huyu mwanamke

Naomba ushauri kuhusu huyu mwanamke

Ukipenda unaweza kumuweka ili ukiwa na ugwadu unamtafuta upunguze ugwadu lakini mapenzi uliyokuwa nayo yameshatoweka.
Hv n kwa nn wadada wakiacha mtu hupenda kurudi. Huwa wana pima upepo au !!!!!!!!

Anyway
Na mm niliachwa mwezi sept baada ya mda alirudi, ila ukweli n kwamba mwanamke akikuacha ujue hakupendi kaa nae mbali na mm nilimzia gear hewani

Kheri yetu wanaume tutasema mm naona sijatulia bado nna mambo mengi ila sio mademu
 
ngoja niandke kwa heruf kubwa. YAANI KILA SIKU TUNAWASHAURI KUWA MASINGLE MOTHER HAWAFAIII HUWA WANAKUMBUSHIAGA KIPOLO .......YAANI WW ATA KUWEKA KAMA MILITARY BASE ....
 
Yeah! Shetani kampitia kumsaliti mwenzie waliyekuwa wanapendana sana na kukubali kwenda faragha akavuliwa pichu na kukaa mkao wa kupokea dushe. Huku akijua hakuna kinga na akalipokea dushe kwa utamu kama wote na viuno akakata hadi jamaa akammwagia za kutosha tu lakini hakutaka kutumia hata morning after pill ili azuie mimba. Sasa maji yamemfika kushingo anamlaumu mwenzie kwamba penzi lake lilikuwa FAKE! 😳😳😳
Utaskia shetani alinipitia!!!
 
WE MWANAUME..PIGA CHINI MKUU
hadi mwanamke anakuacha ujue hakupendi..kuna msemo mmoja unasema hivi "women know no medium either hate or love" huyo hakupendi..hana namna ndo mana kaja kwako
 
Kuna ile unampenda mwenzio kwa dhati, lakini yeye anakuchulia poa, sizani mtu anayekupenda anaweza kukumiza kiasi cha kukutoa machozi!
Final conclusion siyo nzuri sana maana sometimes watu wamejihami kwa kudhani pengine mambo yanaweza kuwa otherwise huko mbeleni. Sasa wanafanya mwendo wa kutegesheana. Huku ni kukosa imani na malengo. Mtu anayempenda Mungu kwa dhati haezi fanya hizi mambo ya kishamba.
 
Final conclusion siyo nzuri sana maana sometimes watu wamejihami kwa kudhani pengine mambo yanaweza kuwa otherwise huko mbeleni. Sasa wanafanya mwendo wa kutegesheana. Huku ni kukosa imani na malengo. Mtu anayempenda Mungu kwa dhati haezi fanya hizi mambo ya kishamba.
Mapenzi ya kujihami ni magumu sana, hauwezi kuwa huru unakuwa mtumwa, ulishaona mwanamke anasema acha akazurule atarudi tu hapa nikwake tu, sasa Mme alale nje eti atarudi tu! Mmmmm
 
Wewe kiazi mbatata kweli. Yaani umekuwa na mwanamke kakutoka kaenda kuliwa kavu na mbegu zikamea aliyelima kakimbia. Acha ujinga wewe eti nawe umezaa nje mpuuzi sana wewe mrudie ambaye umezaa nae halafu huyo achana nae. Utaendaje kukaa na mtu aliyekutosa. Mara nyingine uwa naona simba dume wana akili sana marufuku kukaa na mbegu ambayo sio yake. USHAURI WANGU MGUMU ACHANA NA HUYO DADA WA MAPACHA.
 
Mimi nachukia sana kukaa na mwanamke ambaye ana mtoto mwili uwa unasisimka. Kuna dada mmoja alikuwa mwanamke wangu akatoa mimba yangu nikachukia sana akapotea akaja kurudi akiwa na mtoto wa dume mwingine. Nilishindwa kabisa kumkubali yule mtoto mwili uligoma kbs. Nikamwambia siwezi kukaa nae na yule mtoto maana alishatoa mimba yangu inakuwaje nilee mtoto wa mtu mwingine.
 
Back
Top Bottom