JF mods turuhusuni tuwe tunatukana kmmk maana kuna mada ukisoma unashikwa na mzuka wa kutukana .



Kwanini watoto mnapenda kuwaita malaika. Kwani malaika wana akili za kitoto nao wanavalishwa pampers. Yaani malaya wawili wanazini wanajaza mitoto isiyo na ukaribu na mungu mnaita malaika. Ina maana kuna mwanamke na mwanaume wazinifu walishazaa malaika. Ndio mambo ya kukubali kuitwa nchi ya wanyonge.Hakikisha hao malaika baba yao kafa na kaburi umeliona
Jokajeusi njoo utie neno katibu mkuu wa kuwaambia ukweli single mothers Tanzania
wewe kama mwanaumeMwishoni mwa mwaka 2019 nilikuwa kwenye mahusiano hot ya kimapenzi yenye ndoto za kuja kuishi pamoja na huyu mwanadada
Mimi nikiwa mwajiriwa wa serikali yeye akiwa kwenye taasisi za ukopeshaji ,baadae akahamishwa na taasisi yake kwenda mkoa jirani,hata hivyo mapenzi yetu yalikuwa ya moto
Miezi michache baadae akaanza kuonyesha dalili za kutaka kiniacha,mara hajibu sms kwa wakati,hapokei sim,baadae nikachoka moyo binafsi ila nikafanya uchunguzi nikagundua ana mahusiano mengine na mtu mwingne nikaamua kuachana naye rasimi
Miezi 3 iliyopita nikiwa bize na harakati zangu,kuchek whasap nikakuta sms yake ikinijulia hali nami nikajibu fresh,baada ya siku tatu akanipigia sim akiniomba msamaha na maelezo kibao,sikumwelewa akamtumia rafiki yangu wa karibu akalialia akanishawishi basi nikamwambia nipe muda,kadri siku zinavyoenda mawasiliano yakawa ya karibu zaidi
Basi kwa kuwa moyo wangu ulikuwa unampenda huyo mwanamke ikabidi nianze kurudisha mahusiano
Lakini baada ya mwezi mmoja kupita nikaingia whasap kuperuzi nikakuta status yake ina watoto mapacha,nikamuuliza vipi wanao au akanijibu ndio nilijifungua mwezi uliopita
Alivyoniambia hivyo moyo wangu uliuma hatari sikumtafuta tena wala sikupokea simu yake wala sikujibu sms zake
Sms aliyonitumia ya mwisho ikasema hivi" Nilijua hunipendi tangu awali,huna mapenzi ya dhati,ungekuwa unanipenda upendo wako ungedhihirika kwenye kipindi hiki kigumu cha maisha yangu ,kumbuka hawa ni malaika tu hawana kosa ,ndio nimefanya makosa makosa kwani wewe huwezi ukafanya makosa ya kuzaa nje? "
Ila kimoyo moyo nami pia nimezaa nje mtoto mmoja
Wadau naomba ushauri
Kumbuka watoto hawana kosa, hawakupanga kuzaliwa. Wamejikuta wameletwa ulimwenguni, hivyo kimsingi hawana hatia.Kwanini watoto mnapenda kuwaita malaika. Kwani malaika wana akili za kitoto nao wanavalishwa pampers. Yaani malaya wawili wanazini wanajaza mitoto isiyo na ukaribu na mungu mnaita malaika. Ina maana kuna mwanamke na mwanaume wazinifu walishazaa malaika. Ndio mambo ya kukubali kuitwa nchi ya wanyonge.
Hii yako nayo nadharia tu kama nadharia zingine. Wanaweza kurudiana ndoa yao ikawa murua kama Firdausi.wewe kama mwanaume
1.fanya maamuzi kulingana na matakwa uliyojiwekea na usiendeshe kabisa na hisia kufanya maamuzi.
2. usihalalishe kosa hata siku moja eti kwakua once ulishawahi kukosea.
mwisho wa yote kumbuka kama alikuacha akiwa hana kitu chochote kinachomuunganisha kiroho, kinafsi na kimwili na huyo mwanaume aliezaanae, basi kuna probability ya 0.9 kuachwa tena hapo mbeleni maana now ana kitu kinachomuunganisha kiroho,na kimwili na baba watoto wake.
MAKE WISE DECISION, YOU ARE A MAN, AND ALWAYS THE LEADER NO MATTER THE SITUATION
NAWASILISHA...................
Azalishwe nje, akuombe msamaha bila kukuambia hilo anapata guts za ku post status, wewe unaambiwa ki ajali, ajali tu... Halafu unaamini kabisa una nafasi kwenye moyo wa huyo mwanamke....Mwishoni mwa mwaka 2019 nilikuwa kwenye mahusiano hot ya kimapenzi yenye ndoto za kuja kuishi pamoja na huyu mwanadada
Mimi nikiwa mwajiriwa wa serikali yeye akiwa kwenye taasisi za ukopeshaji ,baadae akahamishwa na taasisi yake kwenda mkoa jirani,hata hivyo mapenzi yetu yalikuwa ya moto
Miezi michache baadae akaanza kuonyesha dalili za kutaka kiniacha,mara hajibu sms kwa wakati,hapokei sim,baadae nikachoka moyo binafsi ila nikafanya uchunguzi nikagundua ana mahusiano mengine na mtu mwingne nikaamua kuachana naye rasimi
Miezi 3 iliyopita nikiwa bize na harakati zangu,kuchek whasap nikakuta sms yake ikinijulia hali nami nikajibu fresh,baada ya siku tatu akanipigia sim akiniomba msamaha na maelezo kibao,sikumwelewa akamtumia rafiki yangu wa karibu akalialia akanishawishi basi nikamwambia nipe muda,kadri siku zinavyoenda mawasiliano yakawa ya karibu zaidi
Basi kwa kuwa moyo wangu ulikuwa unampenda huyo mwanamke ikabidi nianze kurudisha mahusiano
Lakini baada ya mwezi mmoja kupita nikaingia whasap kuperuzi nikakuta status yake ina watoto mapacha,nikamuuliza vipi wanao au akanijibu ndio nilijifungua mwezi uliopita
Alivyoniambia hivyo moyo wangu uliuma hatari sikumtafuta tena wala sikupokea simu yake wala sikujibu sms zake
Sms aliyonitumia ya mwisho ikasema hivi" Nilijua hunipendi tangu awali,huna mapenzi ya dhati,ungekuwa unanipenda upendo wako ungedhihirika kwenye kipindi hiki kigumu cha maisha yangu ,kumbuka hawa ni malaika tu hawana kosa ,ndio nimefanya makosa makosa kwani wewe huwezi ukafanya makosa ya kuzaa nje? "
Ila kimoyo moyo nami pia nimezaa nje mtoto mmoja
Wadau naomba ushauri
Hahaha mwanamke ni opportunistic by nature. Akikuacha ghafla jua kuna alilofata huko alikoenda, akifanikiwa hatakaa arudi inakuwa ndo ntolee hio. Ila akilikosa jua imekuwa majanga hivyo atarudi kwa speed, misamaha mingi, ishu ni kuwa kurudi kwake sio kwa mapenzi bali atarudi sababu amepata majanga anataka faraja toka kwako.Hv n kwa nn wadada wakiacha mtu hupenda kurudi. Huwa wana pima upepo au !!!!!!!!
Anyway
Na mm niliachwa mwezi sept baada ya mda alirudi, ila ukweli n kwamba mwanamke akikuacha ujue hakupendi kaa nae mbali na mm nilimzia gear hewani
Kheri yetu wanaume tutasema mm naona sijatulia bado nna mambo mengi ila sio mademu