Mm natarajia kuhtim masomo yangu kwenye chuo kimojawapo hapa tanzania, lakini akilini mwangu nina mawazo makuu mawili; kupata ajira na kuoa. Nimemweleza mpenzi wangu kuhusu mipango ya harusi yangu akaniambia yy yuko tayari kwa ndoa pale tu nitakapoona inafaa. Kwa wadau wa jf wenye uzoefu katika masuala ya ndoa, je baada ya kuhitimu huo mwezi wa nane ni mwaka gani(baada ya muda gani) ambao mnanishauri tufunge hiyo ndoa yetu takatifu na huyu mchumba wangu?