Naomba ushauri kuhusu hili tatizo la mwanangu

vlyn

Member
Feb 18, 2021
9
4
Habarini wana JF,

Naombeni ushauri mwanangu ana umri wa mwaka na miezi 3 sasa anapenda Sana kunywa maziwa ya ng`ombe lakini anapoyatumia anapata kinyesi chepesi na chenye harufu Sana na rangi ya maziwa maziwa. Je, tatizo linaweza kuwa nini kuhusiana na hayo maziwa? Haonesha kupata maumivu ya tumbo, muwasho wala kuvimba scheme yoyote ya mwili.

Karibuni kwa ushauri wa kitaalamu uzoefu n.k

Natanguliza shukurani.
 
Habarini wana JF,

Naombeni ushauri mwanangu ana umri wa mwaka na miezi 3 sasa anapenda Sana kunywa maziwa ya ng`ombe lakini anapoyatumia anapata kinyesi chepesi na chenye harufu Sana na rangi ya maziwa maziwa. Je, tatizo linaweza kuwa nini kuhusiana na hayo maziwa? Haonesha kupata maumivu ya tumbo, muwasho wala kuvimba scheme yoyote ya mwili.

Karibuni kwa ushauri wa kitaalamu uzoefu n.k

Natanguliza shukurani.
Kwa hiyo Maziwa yako ya kifuani haumnyonyeshi?una mnywesha maziwa ya ng'ombe? kuna vitu ana vikosa ndani ya mwili wako kwa wewe kumnyonyesha hayo maziwa ya ng'ombe mwanao. Mungu hajafanya makosa kukupa maziwa kifuani wewe ili umnyonyeshe mwanao na wala Mungu hajafanya kosa kumpa ng'ombe amnyonyeshe mwanae maziwa yake.
 
Habarini wana JF,

Naombeni ushauri mwanangu ana umri wa mwaka na miezi 3 sasa anapenda Sana kunywa maziwa ya ng`ombe lakini anapoyatumia anapata kinyesi chepesi na chenye harufu Sana na rangi ya maziwa maziwa. Je, tatizo linaweza kuwa nini kuhusiana na hayo maziwa? Haonesha kupata maumivu ya tumbo, muwasho wala kuvimba scheme yoyote ya mwili.

Karibuni kwa ushauri wa kitaalamu uzoefu n.k

Natanguliza shukurani.
Kwani yeye huyo mtoto anasemaje kuhusu ilo?
 
Mtoto Hadi afikishe mwaka ndio mpe maziwa tofauti

Mtoto skies anamiezi kadhaa lazima anyonye maziwa ya mama bila ya ivyo utakuja kumfanyz akiwa mkubwa ndio unakuja kuomba ushauri kama mwanao kalegea
 
Kwa hiyo Maziwa yako ya kifuani haumnyonyeshi?una mnywesha maziwa ya ng'ombe? kuna vitu ana vikosa ndani ya mwili wako kwa wewe kumnyonyesha hayo maziwa ya ng'ombe mwanao. Mungu hajafanya makosa kukupa maziwa kifuani wewe ili umnyonyeshe mwanao na wala Mungu hajafanya kosa kumpa ng'ombe amnyonyeshe mwanae maziwa yake.
bado namnyonyesha lkn muda mwingi sipo nae anatumia vyakula vya ziada hasa maziwa lakini yanampa hiyo shida
 
Mtoto Hadi afikishe mwaka ndio mpe maziwa tofauti

Mtoto skies anamiezi kadhaa lazima anyonye maziwa ya mama bila ya ivyo utakuja kumfanyz akiwa mkubwa ndio unakuja kuomba ushauri kama mwanao kalegea
tayari ana umri wa mwaka 1 na miezi 3 sasa
 
Habarini wana JF,

Naombeni ushauri mwanangu ana umri wa mwaka na miezi 3 sasa anapenda Sana kunywa maziwa ya ng`ombe lakini anapoyatumia anapata kinyesi chepesi na chenye harufu Sana na rangi ya maziwa maziwa. Je, tatizo linaweza kuwa nini kuhusiana na hayo maziwa? Haonesha kupata maumivu ya tumbo, muwasho wala kuvimba scheme yoyote ya mwili.

Karibuni kwa ushauri wa kitaalamu uzoefu n.k

Natanguliza shukurani.

Pamoja na kwamba haonyeshi dalili zote, inawezekana akawa na shida ya kumeng'enya maziwa na kufyonza kwake (lactose intolerance).

Ni mhimu kufahamu kama hali hii imekuwepo kwa kipindi chote au ineanza kwa kipindi kifupi.

Lakini, bado kuna umuhimu kumsikiliza mtu anaeshinda na mtoto kwa muda mrefu, kumfanyia physical examination na kukiona choo na kufanya vipimo zaidi.

Daktari bingwa wa magonjwa ya watoto atakuwa ni mtu mhimu kumwona.
 
Pamoja na kwamba haonyeshi dalili zote, inawezekana akawa na shida ya kumeng'enya maziwa na kufyonza kwake (lactose intolerance).

Ni mhimu kufahamu kama hali hii imekuwepo kwa kipindi chote au ineanza kwa kipindi kifupi.

Lakini, bado kuna umuhimu kumsikiliza mtu anaeshinda na mtoto kwa muda mrefu, kumfanyia physical examination na kukiona choo na kufanya vipimo zaidi.

Daktari bingwa wa magonjwa ya watoto atakuwa ni mtu mhimu kumwona.
Nashukuru Sana nitaufanyia kazi ushauri wako mkuu
 
Back
Top Bottom