Naomba ushauri kuhusu tatizo hili la macho

Life starts at 45

JF-Expert Member
Sep 22, 2015
976
932
Wakuu habari zenu, nimekuwa nikisumbuliwa na kichwa at least once and at most twice a week.

Baada ya kuona hilo tatizo nikaamua kujisogeza hospital kwa ajili ya vipimo.

Baada ya kufika hospitali na kufanyiwa vipimo ikaonekana sina ugonjwa wowote ule.

Ikanibidi niende clinic ya macho na hapo ndipo ikabinika nina tatizo la macho na lenyewe ndio hepelekea kichwa kuuma.

Sasa baada ya vipimo nikashuriwa kutumia miwani.

Sasa hapa kwenye miwani ndipo tatizo hasa lilipo maana baada ya vipimo na kupewa miwani naona nikiivaa naona mabonde kwenye vitu.

Vitu ambavyo vimenyooka nikivaa miwani naona vimepinda( vinakuwa na bonde kwa ndani).

Sasa swali langu, je kuona haya mabonde ni sahihi na kama ndio hivyo hii picha ya mabonde itakoma baada ya muda gani.

Kama sio sahihi jee kuendelea kutumia miwani ni kuzidi kuyaharibu macho yangu?

Mwisho kwa madaktari ni nini ushauri wenu juu yangu?
 
Rudi kwa daktari, hizo ni issue sensitive consultation yake based kwenye vipimo, hapa hakuna vipimo.

Kama upo Dar jaribu kwenda international eye hospital ya Waturuki au Dr Argaways eye hospital karibu na mtaa ya Morocco.

Bima ya NHIF wanapokea.
 
Wakuu habari zenu, nimekuwa nikisumbuliwa na kichwa at least once and at most twice a week.

Baada ya kuona hilo tatizo nikaamua kujisogeza hospital kwa ajili ya vipimo.

Baada ya kufika hospitali na kufanyiwa vipimo ikaonekana sina ugonjwa wowote ule.

Ikanibidi niende clinic ya macho na hapo ndipo ikabinika nina tatizo la macho na lenyewe ndio hepelekea kichwa kuuma.

Sasa baada ya vipimo nikashuriwa kutumia miwani.

Sasa hapa kwenye miwani ndipo tatizo hasa lilipo maana baada ya vipimo na kupewa miwani naona nikiivaa naona mabonde kwenye vitu.

Vitu ambavyo vimenyooka nikivaa miwani naona vimepinda( vinakuwa na bonde kwa ndani).

Sasa swali langu, je kuona haya mabonde ni sahihi na kama ndio hivyo hii picha ya mabonde itakoma baada ya muda gani.

Kama sio sahihi jee kuendelea kutumia miwani ni kuzidi kuyaharibu macho yangu?

Mwisho kwa madaktari ni nini ushauri wenu juu yangu?
Pole man!

2012 nilipata shida hii nikaenda CCBRT,nilikua naona giza Aiseh yaani giza!!

SASA waliponipima hawakuona chochote nikaandikiwa miwani fulani hivi,nilishindwa kutumia HADI leo ipo na ulikula 60000/= wakati naenda CCBRT nafsi inakataa nisiende!nilipo maliza UE tu nikaenda field huko nyumbani nikaanza kula mboga majani na lita moja maziwa fresh kwa siku!baadae halo ikawa nzuri japo Mchungaji MMOJA nilimshirikisha na kumpa sadaka Aiseh walioniombea SANA HUWA nahisi ni maombi yao pia yalisaidia!!

Juzi nilikunywa chai ya sukari nikaihisi ile hali,HUWA natumia asali mbichi!

Nyama nyekundu plus sukari hizi zenye phosphate nazo zinaua macho!

Jitahidi kwenye diet na maombi mkuu!!miwani hapana mkuu takuumiza zaidi!!!
 
Pole man!

2012 nilipata shida hii nikaenda CCBRT,nilikua naona giza Aiseh yaani giza!!

SASA waliponipima hawakuona chochote nikaandikiwa miwani fulani hivi,nilishindwa kutumia HADI leo ipo na ulikula 60000/= wakati naenda CCBRT nafsi inakataa nisiende!nilipo maliza UE tu nikaenda field huko nyumbani nikaanza kula mboga majani na lita moja maziwa fresh kwa siku!baadae halo ikawa nzuri japo Mchungaji MMOJA nilimshirikisha na kumpa sadaka Aiseh walioniombea SANA HUWA nahisi ni maombi yao pia yalisaidia!!

Juzi nilikunywa chai ya sukari nikaihisi ile hali,HUWA natumia asali mbichi!

Nyama nyekundu plus sukari hizi zenye phosphate nazo zinaua macho!

Jitahidi kwenye diet na maombi mkuu!!miwani hapana mkuu takuumiza zaidi!!!
Acha upotoshaji. Maombi ndiyo nini. Mwambie aende hosp ya utaalamu wa macho. Toka lini maombi yakawa tiba
 
Rudi kwa daktari, hizo ni issue sensitive consultation yake based kwenye vipimo, hapa hakuna vipimo.

Kama upo Dar jaribu kwenda international eye hospital ya Waturuki au Dr Argaways eye hospital karibu na mtaa ya Morocco.

Bima ya NHIF wanapokea.
Asante mkuu, nipo Dodoma hivyo nitajaribu kwenda na hosipitali nyingine nione.
 
Rudi kwa daktari, hizo ni issue sensitive consultation yake based kwenye vipimo, hapa hakuna vipimo.

Kama upo Dar jaribu kwenda international eye hospital ya Waturuki au Dr Argaways eye hospital karibu na mtaa ya Morocco.

Bima ya NHIF wanapokea.
Huu ya waturuki wanatumia bima ya NHIF
 
wakata naanza vaa miwani ya kutokuona mbali hili ilikua changamoto kuu
nusura nivunje mguu, maana unaona bonde unaruka kumbe hakuna kitu
iliacha yenyewe baadae huko
Mkuu mimi mbali na karibu kote naona pasipo shida yoyote, ila nikikaa mda mrefu kwenye computer ndio nahisi maumivu ya kichwa.
 
Pole mkuu,,
unaweza rudia checkup uone watakwambiaje. Pia kuona mabonde ukianza kuvaa miwani ni kawaida maana macho yanakua hayajazoea ile lens,kama lens uliyopatiwa ni sahihi kutokana na shida yako.
Hivo unaweza jaribu kuvaa ukakaa nayo nje hata nusu saa alafu unavua unakaa muda kidogo pia alafu unavaa tena, unaweza hata kuhisi kuumwa kichwa lakini macho yatakapo zoea io lens utaona kawaida.
 
Wakuu habari zenu, nimekuwa nikisumbuliwa na kichwa at least once and at most twice a week.

Baada ya kuona hilo tatizo nikaamua kujisogeza hospital kwa ajili ya vipimo.

Baada ya kufika hospitali na kufanyiwa vipimo ikaonekana sina ugonjwa wowote ule.

Ikanibidi niende clinic ya macho na hapo ndipo ikabinika nina tatizo la macho na lenyewe ndio hepelekea kichwa kuuma.

Sasa baada ya vipimo nikashuriwa kutumia miwani.

Sasa hapa kwenye miwani ndipo tatizo hasa lilipo maana baada ya vipimo na kupewa miwani naona nikiivaa naona mabonde kwenye vitu.

Vitu ambavyo vimenyooka nikivaa miwani naona vimepinda( vinakuwa na bonde kwa ndani).

Sasa swali langu, je kuona haya mabonde ni sahihi na kama ndio hivyo hii picha ya mabonde itakoma baada ya muda gani.

Kama sio sahihi jee kuendelea kutumia miwani ni kuzidi kuyaharibu macho yangu?

Mwisho kwa madaktari ni nini ushauri wenu juu yangu?
tatizo lako umekwenda kwa wauza miwani badala ya kwenda kwa madaktari wa macho.
 
Back
Top Bottom