CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 560
- 2,087
Nilikuwa na Rav 4 short chasis Ambayo kutokana na matatizo mbalimbali niliiuza toka january mwaka huu, nina familia na kwa sasa naona changamoto kubwa kukosa usafiri, kutokana na hilo nilianza kujichanga kidogo kidogo tena nikafika 7M Baadae ikatokea shida tena ikabidi nibaki na 5M.
Nikaona Mark ii grande moja VVTI inauzwa kwa bajeti yangu, nimeikagua na fundi na haina tatizo, sasa sijawahi kabisa kumiliki hii gari japo ina CC sawa na Ile RAV 4, watu wanasema linabugia sana kwa safari zangu za kazini kwa mwezi niwe na laki 4 ya service na mafuta? Kazini kwangu ni km 13 kutoka Nyumbani na kipato changu ni 800k mshahara.
Je, nichukue hii gari? AU nikimbilie Vitz kwa budget yangu?
Nikaona Mark ii grande moja VVTI inauzwa kwa bajeti yangu, nimeikagua na fundi na haina tatizo, sasa sijawahi kabisa kumiliki hii gari japo ina CC sawa na Ile RAV 4, watu wanasema linabugia sana kwa safari zangu za kazini kwa mwezi niwe na laki 4 ya service na mafuta? Kazini kwangu ni km 13 kutoka Nyumbani na kipato changu ni 800k mshahara.
Je, nichukue hii gari? AU nikimbilie Vitz kwa budget yangu?