Huntsman
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 633
- 577
ISUZU BIGHORN inanipa faraja, haina mawazo kabisa, haijanisumbua zaid ya service za kawaida kwa mafundi wetu chini ya mwembe pale Mwenge nyuma ya Tamal Hotel.
Uliifikisha TZ kwa Bei gani mkuu? Na mafuta inakulaje?