Siyo mimi,hilo jina alilowaita ni yule aliyewaumba mumuabudie,nyie mkaenda kuwaabudu wasiyostahili kuabudiwa, ole wenu siku yaja,Ebu jiulize shetani alifukuzwa peponi sababu tu,ya kukataa kumsujudia Adamu,je wewe unayekataa kumuabudu mwenyezi Mungu itakuwaje?