DellDA
Member
- Nov 3, 2020
- 29
- 20
Bila shaka kuna mahali panavuja, mimi naona ukinunua used ndio huwa zinasumbua service. Lakini mpya atleast 2years zikiwa barabarani ndio matengenezo ya gharama huanzaMkuu mwaka tu bajaji imekuwa kama soksi? Mm siamini katika hili mbona wengine wanafany hii biashara