Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 201
tunalipia jengo kwa mwezi shs mil3,sasa mzee wa kanisa ametangaza tutowe sadaka kubwa ili waweze kulipia jengo kila mwezi,tuna kiwanja lakini ujenzi bado,je kwenda kusali kwenye uwanja wetu na kuokoa hizo hela ni idea nzuri??nataka nitoe huo ushauri kwa uongozi wa kanisa,
jambo jingine mchungaji wetu amenunua range rover mpya,,sasa ametangaza atatuombea wote tununue magari mapya,,sijapenda hiyo,nimejiunga hapa siku chache zilizopita,sihitaji gari ila nahitaji kumjua mungu na kuokoka,mambo mengi yananivunja moyo,sijui niendelee kusali pale au niache????
jambo jingine mchungaji wetu amenunua range rover mpya,,sasa ametangaza atatuombea wote tununue magari mapya,,sijapenda hiyo,nimejiunga hapa siku chache zilizopita,sihitaji gari ila nahitaji kumjua mungu na kuokoka,mambo mengi yananivunja moyo,sijui niendelee kusali pale au niache????