Salam wana jamvi naombeni ushauri wapi ninaweza kupata soko la kuuzia mahindi mabichi. Nipo mkoa wa pwani wilaya ya rufiji nataka kuanza kilimo cha mahindi ila cjui wapi naweza kupata soko na bei za kuuzia. Asanten[/IMG][/URL]
soko la mahindi mabichi lipo tandale, dar yes salaam,mwaka 2013 bei ya juu ya mhindi mbichi ilikua ni sh 250 dalali alikua anachukua sh 10 kila mhindi, kipindi kizuri cha kupeleka mahindi ilikua kuanzia mwezi wa tano mpaka december,ukipeleka kipindi cha mvua nyingi mahindi yanakua mengi sana kutoka pande za iringa kwa hiyo biashara inakuwa mbaya sana, biashara nzuri ni kiangazi, fuso moja huwa inabeba mahindi kama 17,000 hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.