nyakandula
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 1,192
- 1,586
Kama miezi nane iliyopita niliachana na mpenz wangu kutokana no sababu mbalimbali ikiwemo uaminifu.
Since hapo nilidelete everything kuhusu yey kichwani mwangu na had ktk sim na diary zang. Na hatukutafutana Tena hakuna aliyempigia mwenzio wala kumtumia meseji for 8 months. Na mimi nishapata mpenzi mwingine, cha ajabu leo asubuhi KANIPIGIA SIMU NIKAMUULIZA WEW NAN AKANITAJIA JINA NA KUNAMBIA KESHO KUTWA NIKAMPOKEEE UBUNGO.
Nikashindw kumjibu papo hapo maan bado niko njia panda sielew if anadhamiria jambo zuri au baya kwangu nikaamua niingie humu kuomba ushaur NIENDE AU NISIENDE??
Since hapo nilidelete everything kuhusu yey kichwani mwangu na had ktk sim na diary zang. Na hatukutafutana Tena hakuna aliyempigia mwenzio wala kumtumia meseji for 8 months. Na mimi nishapata mpenzi mwingine, cha ajabu leo asubuhi KANIPIGIA SIMU NIKAMUULIZA WEW NAN AKANITAJIA JINA NA KUNAMBIA KESHO KUTWA NIKAMPOKEEE UBUNGO.
Nikashindw kumjibu papo hapo maan bado niko njia panda sielew if anadhamiria jambo zuri au baya kwangu nikaamua niingie humu kuomba ushaur NIENDE AU NISIENDE??