germanium
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 749
- 1,041
hapo nyani kakumbuka poli lakeAiseee umefel hpo simpend.. Sijawasilian nae kw miezi nane afu unasem nampend? Noooo
hapo nyani kakumbuka poli lakeAiseee umefel hpo simpend.. Sijawasilian nae kw miezi nane afu unasem nampend? Noooo
mamshangaaSasa wew ni mnafiki tena ni mzandiki sijajua wew mwanamke au mwanaume ila wew hujielewi tayari unampenzi na isitoshe anakupenda na wew unampenda kinachokuweka njia panda kipi? Kama mapenzi wew na yeye si yalishakwisha sasa wew unakuwaje njia panda acha hizoooooo tulia na mpenz wako
moyo kichaka au anamuendekeza tu type hii ya wanaume ni ile ambyo atakupata mwanamke kazi kwahy uwaga hawana maamuzi...na hamna kitu kibaya kama mwanaume kua out of options....yaani unakua type ya mwisho kbs kwa wanawake anaenda huko anatimbwa timbwa akimaliza anakuja kwa zezeta lake lkn kupata faraja akijiona kiconfidence kimerud rudi anaondoka tena hivohivoMoyo wa mtu kichaka! Ukute yuko njia panda coz bado anampenda mkuu huwezi kumwambia x wake ******** mwenyewe anamchukuliaje
Jitahidi kujieleza ueleweke. Mliachana au wewe ulimwacha? Kama mmeachana mwambie akutafute siku nyingine maana kwa wakati huu huna muda wa kukutana nae. Una majukumu meeengi ya uhakiki wa nyeti kazini.