nyakandula
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 1,199
- 1,596
- Thread starter
- #21
KivipEt cha ajabu, umenichekesha
KivipEt cha ajabu, umenichekesha
Basi kama kweli mliachana na wewe umeshapata mpenzi mwingine, kama unamheshimu mpenzi wako wa sasa, basi nenda nae Ubungo kumpokea huyo mpenzi wako wa zamani.Anadai nikampokee atafika jion.. Sas sijui anatak tu nimpe lift tu nimpelek kwao au anajambo. Hadi tunaachana alikua dar sijui huko mkoan alifata nin
Aiseee umefel hpo simpend.. Sijawasilian nae kw miezi nane afu unasem nampend? Nooookwa maelezo yako inaonyesha bado unampenda, so amua unachoamini ni sahihi kwako
KivpNenda jukwaa LA mapenz ..jpuu nn ww
Hihih howAh ah ah ah ah ah mleta mada kavuta bangi kituo cha polisi
hii mada imeletwa ktk jukwaa gan sasa..??Hihih how
Hajanambia anatak tuwe wapenz Tena unafik wang nn ww.. Toa jazba zakoSasa wew ni mnafiki tena ni mzandiki sijajua wew mwanamke au mwanaume ila wew hujielewi tayari unampenzi na isitoshe anakupenda na wew unampenda kinachokuweka njia panda kipi? Kama mapenzi wew na yeye si yalishakwisha sasa wew unakuwaje njia panda acha hizoooooo tulia na mpenz wako
AsanteJitahidi kujieleza ueleweke. Mliachana au wewe ulimwacha? Kama mmeachana mwambie akutafute siku nyingine maana kwa wakati huu huna muda wa kukutana nae. Una majukumu meeengi ya uhakiki wa nyeti kazini.
Hio nzur aiseee nimeipend ila yataka moyo SanaBasi kama kweli mliachana na wewe umeshapata mpenzi mwingine, kama unamheshimu mpenzi wako wa sasa, basi nenda nae Ubungo kumpokea huyo mpenzi wako wa zamani.
Mkishaonana baada ya kuteremka kwenye basi, mtambulishe kwa shemeji yake wa sasa ili iwe more friendly badala ya kuwa sexy.
Ok Poa mkuu kama kuna ka uzito frani hv we nitumie nambar yake mi nikampokeeHhhmm msaad unawez kumpa mtu ambaye mliachana?? Msaad wenyew hadi tuonane!! Kama anahitaji Msaad si angesem nimtumie pesa
yaani bhana... potezea kabixaaa, msahau kama mwanzo , usiendee mpokea. atajikuta xana na wewe utaonekana zoba.Kama miezi nane iliyopita niliachana na mpenz wangu kutokana no sababu mbalimbali ikiwemo uaminifu.
Since hapo nilidelete everything kuhusu yey kichwani mwangu na had ktk sim na diary zang. Na hatukutafutana Tena hakuna aliyempigia mwenzio wala kumtumia meseji for 8 months. Na mimi nishapata mpenzi mwingine, cha ajabu leo asubuhi KANIPIGIA SIMU NIKAMUULIZA WEW NAN AKANITAJIA JINA NA KUNAMBIA KESHO KUTWA NIKAMPOKEEE UBUNGO.
Nikashindw kumjibu papo hapo maan bado niko njia panda sielew if anadhamiria jambo zuri au baya kwangu nikaamua niingie humu kuomba ushaur NIENDE AU NISIENDE??
Sasa unadhani mapenzi bila msimamo utayaweza? Haiwezekani una mpenzi mpya na bado unamtaka wa zamani.Hio nzur aiseee nimeipend ila yataka moyo Sana
Aisee bora umeongea maana hatujamuelewaUnatuandika upuuzi gani katika jukwaa la elimu ww kilaz.a toa post yako tafadhar