BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
chapa lapa
Ugoro? na mate anatema ndani sio? chafya je? ha ha ha!
kwanza unadai kwenu hajatoa chochote wewe si umejipeleka mwenyewe bure? uliitwa ? acha uipate fresh wewe kutongozwa siku mbili tatu unahamia? tena unasema unaishi nae kama mumeo ,ndo maana anakununia
mimi hata nigonge 50 siamii kwa mtu kihuni asilani ,acha iwe mbaya
kwa nini nikose mbingu kisa dushe?
atakula hata bange na kinyesi hapo?
tulizana mtoto wa kike
ahivi dada hii tabia ya mabinti kuhamia kwa wapenzi wao inasababishwa na nini?
Ni kupanic au?
Maana ndoa ni kitu simpe tu kufunga sio lazima sherehe kama mtu anakupenda kweli kukuoa kwa utaratibu ni jambo gumu kiivo kweli hadi muishi miaka mkizini? Si bora uzini kidogo mtaani tu teh! Unakubali mtu anakutumia daily anakuchakaza akuuuuuuuuu!
anakula ugoro.....? sasa mnakiss aje........? uwiiiiiii......kama vipi tembea mdo mdo......hajakuoa halafu kero ndio hizo......akhaaa.......tafuta mwingine mwenye ustaarabu.........
Huo ugoro tu jamani.. Kaaaaa ni mmasai ??
Afu hii tabia ya kununa nuna watu huwa wanaipendea nini???
Nachukia sana hii tabia yani sanaaaa.. Kama umekwazika au una jambo kwanini usiongeee?? Gubu gubu afu ukishanuna ndo umesolve??
Wenye nayo jirekebisheni kwa kweli,.. Haijengi.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hata sisi watafuna ugoro tunahitaji kupendwa, tuvumiliane hivyo hivyo.... daughter umesikia ehe!.anakula ugoro.....? sasa mnakiss aje........? uwiiiiiii......kama vipi tembea mdo mdo......hajakuoa halafu kero ndio hizo......akhaaa.......tafuta mwingine mwenye ustaarabu.........