Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
naombeni msininione binafsi,aa... ila kuishi na ndugu wa mume ni lawama maana waweza kujitoa kwa roho yako yote lakini hawaridhiki,mi niliishi na shem angu mwaka jana akiwa form two alikua jeuri,kiburi aambiwe kitu na kaka yake lakini sio mimi,nimeumwa mimi ye alikua likizo basi hata anisaidie chochote hamna anaenda kuzurura,lakini angekua mdogo wangu hapo angenisaidia,ila kiukweli tunamkaribisha shetani mana hamuwezi kujinafasi na mume wako
nachoshauri ni kuwasaidia wakiwa kwa wazazi wao au wapelekwe bording au hostel uwahudumie huko
nachoshauri ni kuwasaidia wakiwa kwa wazazi wao au wapelekwe bording au hostel uwahudumie huko