Naomba ushauri jamani

duh? kumbe na nyie matajiri mna mapito makubwa hivyo? nilizani ni sisi tusio na uhakika wa kula ata mlo mmoja kwa siku! ss tunaamini kwa kudra za mungu hata leo itaitwa kesho! mwamini mungu bro utapata mpenyo tu.
 
Bro nashauri tena,huyu mke hakufai.Kama afya yako haijali anajali gari,utakufa bure achana nae mrudishe kwao.Huyo ni mmachame nn? Kaka huyo atakuua ili yeye aendelee kumliki mali funguka tua mzgo huo haraka sana.Vp hajakutarfu kwamba ashaona uzi huu?
 

Wewe jamani usiite wenzio majini, sio vizuri
 
duh? kumbe na nyie matajiri mna mapito makubwa hivyo? nilizani ni sisi tusio na uhakika wa kula ata mlo mmoja kwa siku! ss tunaamini kwa kudra za mungu hata leo itaitwa kesho! mwamini mungu bro utapata mpenyo tu.

Mkuu, mie sio tajiri ni mpiganaji tu, naelewa hali halisi ilivyo na ndio maana nina hasira.
 
Sangarara pole kwanza kwa ugonjwa unaokusumbua Mungu wetu hawez kukutupa atakuponya kwa mkono wake kwan yy ndie tabibu mkuu. Back to ua topic ushauri tunakupa but mwenye maamuzi ya mwisho ni ww. Japo sijawh kuishi ktk maisha ya ndoa ila ntajitahid nitoe mawazo kwa mtazamo wangu. Mkeo cdhan km anamapenz ya dhat kwako yupo hapo kipesa zaid. Sikulaumu kwa kumpa pesa na kumwachia asimamie ujenz wenu ulijaribu kumfanya ajione part ya ww ktk kila kitu as words says mmekuwa mwili mmoja. Ulimwamin mno na kumpenda na ndipo mkeo kachukulia point ya kufanya afanyayo. Ma dia maisha ni mafupi na tunatakiwa tuishi kwa raha na shida ni changamoto hatuna budi kuzipitia. Biashara inahitaj nidhamu ya pesa ila kwa mkeo naona hili hana na kwa kushirikiana na nduguze. Nisiwe msemaji sanaa zaid ya yote kaa chini tafakari chukua maamuzi yatakayo kuwa bora kwenu. Usifanye maamuzi ya kumfurahisha mtu wakat maumivu unayapata ww. Cheer up!
 
Last edited by a moderator:
Aisee kuna wanawake wana mambo jamani

Sangarara umefikia wapi kwenye hii ishu
 
Pesa zako mwenyewe zimekuwa fimbo ya kukuchapia.
Ukweli mchungu ni kuwa Mwanamke wa kiafrika ni Mwafrika na unatakiwa kuishi naye kiafrika.

Hata mimi naona ulijivua nafasi yako kama kichwa cha familia ukamuacha Mke wako aongoze 'mapambano', na kwa kweli
'amekupiga' sawasawa.

Kosa la kwanza ni kufikiri ni mwaminifu kwa sababu wakati wa uchumba alikuwa anadhibiti matumizi yako. Hilo ni goli la kwanza alikufunga.........alikuwa 'anabembeleza' ndoa tu akijua fedha unazo na in long run atazikamata tu. Wewe mpaka kufikia mamilioni uliyokuwa nayo kabla ya ndoa alijua unajibana kiasi gani mpaka ukafikia hapo!!

Kosa la pili ni kumuachia madaraka ya uongozi kwenye menejimenti ya uchumi ndani. Hizo fedha na nyumba hakuzitafuta yeye hukutakiwa kumwachia uhuru wa kiasi hicho. Ulitakiwa umwonyeshe polepole na kwa udhibiti maalum (wewe Mwanaume unalijua hili).

Kosa la tatu ni kufikiri Maisha waliyoishi wazazi wako ni sawa na copy na paste. Wao walianza na wakafika hapo na wanajuana. Zama zinabadilika, hawa Wadada wa kileo wengi wao ni 'money oriented'...akikukuta nazo anazipigia 'hesabu ya pembeni'.

Nne kwa bahati mbaya sana siku hizi mahusiano ni kama ya kuwindana. Kuwa na akili kama nyoka na mjanja kama njiwa.

Mwisho: Jipange sasa kama Mwanaume wa Kiafrika (simaanishi umpige).
 
Sangarara umefikia wapi na swala lako?
 
Mkuu pole sana. Mimi kwa leo sina cha kuachangia ila nataka niwakumbushe watu kama hutajali Sangarara. KWa wale ambao walipitiwa, mwezi Septemba au Oktoba hivi (wakati wa Mlipuko Wastegate) nduguyetu huyu alikuwa Nairobi akiwa na matatizo ya kiafya na alileta pst yake hapa mnaweza kuitafuta. Wengi tulitoa ushauri na kwa nature ya tatizo lake wengi tuliishia kumwombea tu kwa Mungu ambaye kwa neema alimponya ndugu yetu nadhania alienda Israel....

Wadau mnisamehe nilitaka kuwakumbusha wale wanaosema sijui Mkewe kabaki Moshi hataki kuanadamana naye Mwanza kwenye matibabu...Nilivyomwelewa no kwamba walienda Moshi kwa wazazi wa Mke then Mke akagoma kwenda Mwanza kwa wazazi wa Mumewe na kwamba wakati jamaa anahangaika na matibabu nje ya nchi, mkewe aligoma kuuza gari lake la thamani na hicho ndio kipindi alichotumia kufanya biashara zaidi...wale tuliosoma ile thread ya ugonjwa na haya anayoyasema hapa tujaribu kuunganisha dots....labda alijua jamaa hata rudi.....NItarudi asubuhi...HERI YA MWAKA MPYA
 
Last edited by a moderator:
Thanks. Hili nimeishalianzisha, sasa kazi yake au nafasi yake kwenye familia inakuwa nini?
kazi yake abaki nyumbani alee maana amewezeshwa kashindwa...inasikitisha kama kuna wanawake wa aina hii...wenzake wanapigwa wananyanyaswa yeye shida nin??alificha makucha???atakuua uyo..mwache haraka.....sio kama ulishindwa kuwa kichwa cha familia bali ulimpenda ukamwamin....mwacheeee
 

Mkuu huyo mkeo unamdekeza sana tatizo, unakubaliana nae kila jambo kirahisi so anatake advantage. DONT BE THAT SIMPLE!!
 

Sijaelewa in all this kwa nini unataka kumuacha Mkeo?
 

watu wanaotoka huku nasikia wako makini sana na pesa
 
...hapo <bold> ndipo ninapopangojea kabla ya kutoa neno lolote!

kwi kwiiiiiiiiii.. hata mie nimeishia kucheka aa lolz.

Labda hajamaliza,, he will be back.
 


kwani wewe unaumwa nini? inawezekana huo ugnjwa ukakupa pressure zaidi, ukiachia mbali hela za matibabu vp anakujali kwa jinsi unavyoumwa?
kuhusu pesa za ujenzi kwa nini umpe yeye kama unaona hawezi ungeacha mara moja kuendelea kumpa na ungefanya mwenyewe hayo maendeleo yako..yeye unampa hela yake ya mboga baaaaas..akinuna anune lkn umweleze ukweli mwanzo mwisho..
sioni haja ya kumuacha unless umeprove beyond resonable dought anakusaliti
 

Swala la ugonjwa limepita, ni miezi kama mitatu iliyopita, niko safi kabisa kwa sasa. nashukuru kwa ushauri.
 
Nadhani ukichwa wa familia ni uwezo wa kutafuta pesa, huo uwezo ninao mkubwa sana na unaongezeka kila siku,

basi usimpe pesa bana, yanini ugomvi fanya kama vile uanishi na katoto ambako hakajui matumizi ya hela halafu fanya kila kitu mwenyewe..naamini unaweza..halafu baada ya miaka 2 mkalishe chini umpe tathmini ya kabla ya ndoa, baada ya ndoa na baada ya wewe kumnyima fursa ya kushika pesa zako..ulinganishe maendeleo yenu yalivyo..
wala uismdai hizo hela ulizompa wewe mwache afanye hayo mabiashara yake na wala usimfuatilie, anza upya as if umeibiwa a utafanikiwa, na yeye ataona aibu km ana mshipa wa fahamu..
wanawake wengine bana wanatia kichefchefu kweli..sijui kwa nini sisi hatupati waume wa staili hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…