Loh!!! hata nyie!!!
Nimepata mchumba lakini nilipoamua kujuaana kivituzi..zzz nilihisi kama nguvu ni nindogo
kwani usimamaji wake sio wa digri 90 kama sio 100 na hasa kwa kimwana kama mie bado
mwake mwake sasa naogopa leo hivi akishanizoea nikiwa mke siitakua pilipili mti gani wakuinamaina.