baunsa wa kike
Member
- Jul 25, 2014
- 83
- 36
Habari zenu wana jamvi,
Naombeni ushuri juu ya huyu boyfriend wangu sijui ananipenda au la? Tumekuwa kwenye uhusiano kwa miaka mitatu sasa, ana miaka 33,hajanitambulisha kwa mtu yeyote kwao hata rafiki pia,haoneshi dalili ya kutaka kuoa.
Sasa japo nikimwambia ananiambia ndio anafanya mipango,nyumbani kwake nimeshaenda na kulala pia hakuna dalili ya mchepko,ila ukitaka ugomvi shika simu yake.
Aliwahi kuibamiza na kuivunja simu yake samsung galaxy s5 kisa niliishika nikawa naangalia nikimuuliza anasema ananipenda, nimemdanganya nina mimba kama tatu zote ananipa hela anasema nikatoe sasa simuelewi anasema ananipenda , eti jamani hapo kuna mapenzi kweli.
Naomba ushauri wenu
Naombeni ushuri juu ya huyu boyfriend wangu sijui ananipenda au la? Tumekuwa kwenye uhusiano kwa miaka mitatu sasa, ana miaka 33,hajanitambulisha kwa mtu yeyote kwao hata rafiki pia,haoneshi dalili ya kutaka kuoa.
Sasa japo nikimwambia ananiambia ndio anafanya mipango,nyumbani kwake nimeshaenda na kulala pia hakuna dalili ya mchepko,ila ukitaka ugomvi shika simu yake.
Aliwahi kuibamiza na kuivunja simu yake samsung galaxy s5 kisa niliishika nikawa naangalia nikimuuliza anasema ananipenda, nimemdanganya nina mimba kama tatu zote ananipa hela anasema nikatoe sasa simuelewi anasema ananipenda , eti jamani hapo kuna mapenzi kweli.
Naomba ushauri wenu