Ila sie wanawake ni makatili jamani?!...papuchi hujampa,dili za bussiness unamharibia...and worse of all,unamgombanisha na ndugu zake...mnh
When the deal is too simple think twice...pepo wa ngono hana adabu lakini usijali..
Hapo cha msingi ni kujituliza,jipe mda wa kutuliza fikra zako usiwaze mabaya wala usimchukie mtu.
wote wasiokuelewa wape mda.kaa mbali kwa mda na familia yako,vunja mawasiliano kwa mda,then watafute wazee huko kwenye asili yenu(kijijini,mjini popote)wazungumze na baba atakuelewa.
Kingine jitahidi sana kujijenga kiuchumi watakuelewa tu.
Kuhusu huyo mdada mpe mda wa kimtosha mkiendelea kuwa hai ipo siku atalipwa stahili zake.
Kweli kabisa atulie atalala mwaloni asipoangalia , yaani eti mtu akikaa nusu mavazi anakutega kwanini usiwaze kua ndo mavazi yake na kutoyapeleka mawazo kusikotakiwa. Siku hizi mavazi ndo hayo sasa utategwa na wangapi. Najiuliza je angekua shemeji yake si angefanya hayo hayo ndio maana ametimuliwa na hawataki kusikia utetezi wake. Ila ajitahidi kufanya kazi kwa bidii mambo yakiwa safi watamuelewaSasa tukushauri nini Bro na umeshatimuliwa uzinzi wako umekuponza kaa utulie na ulipohifadhiwa hapo uwe mpole la sivyo utaenda kulala mwaloni
At first I thought it was you.
Mjinga mkubwa wewe. Yaani unamtomasatomasa binti wa watu halafu unakuja kuomba ushauri hapa. Kwani ulivyokuwa unataka kumbaka ulikuwa unatarajia nini. Kuvaa kwake nguo fupi sio kwamba alikuwa anakuvalia wewe. Unamla denda kwani ulikuwa umemlipia mahari? Kama angekuwa mwanao wa kike halafu ukasikia ameliwa denda na kutomaswa na lijamaa ungejisikiaje? Unakaa kwa kaka yako unakula Sato na Sangara bure unavimbiwa na kujamba ovyo halafu unafanya mambo ya kikumbavu wakati amekuhifadhi kama mkimbizi Mwanza. Jinga kabisa. Wewe ndio umemdhalilisha huyo binti. Tena dakika hii ulitakiwa uwe jela miaka 30 unanyea ndoo.