Naomba ushauri: Binti amenidhalilisha sana

Naomba ushauri: Binti amenidhalilisha sana

ulichokosea ni kushindwa kumla huyo demu...nakushauri mtafte kitaa ujipigie kabsaaaa, acha kuweka viporo visivo na maana
 
kweli mkuuu itakuwa katimuliwa kiaina! pole kijana jipange hapa ni mjini kukaa kwa ndugu c mpango !! kula buyu ufanye yako.... hii tunaita kufukuza kitalaaamu
 
chapa lapa ww ni mwanaume bhana
saka life yako na baba ako kimoyo kimoyo anajisifu kumbe mwanangu kidume

ukipata pesa mtaelewana
 
Kuna trick moja nilifundishwa na kaka yangu napenda kushare nanyi wanajamii. Iko hivi kuepuka mitego kama hii ambayo mara nyingi huwa ni mitego ya kima unatakiwa punde tu unapoingia nyumbani kwa ndugu yako yeyote ukakutana na mtoto (watoto) wakike wazuri amabao ni ndugu wa mke wa ndugu yako unatakiwa ufanye yafuatayo
(1) Make sure mke wa ndugu yako pamoja na ndugu zake wajue kama uko kwenye mahusiano (hata kama huna), we ni mwanaume unaweza ukafanya michakato hili likawezekana; inapendeza hili likifanyika wakati wahusika wakiwepo pamoja, halaf liwe kama bahati mbaya lakin lengo we unalijua. mfano: mimi nlimbeep demu wangu mmoja hivi tukiwa kwenye gari then akapga halaf nkapokea kwa nakshi " yes sweetheart", (akauliza mbona umenibeep) nkamwambia "ooh! the call was a mistake bhana, nlitaka kumchek steve nkajkuta nmetouch vbaya nkakupgia....by the way ntakuchek baadae" halaf nkakata. Then nkamchek steve ambaye ni msela, nikaongea nae story mbili-tatu nkakata simu
(2) Jenga mahusiano ya kirafiki tu na hao ndugu wa mke wa ndugu yako, usiweke mazoea sana
(3) Then ishi maisha yako
Hakika nakwambia, mtego kama huo uliomnasa mwanajamii mwenzetu hauwezi kukunasa.
 
Fanya yako achana nao mie yalinitokea mwaka 2012 kama hayo hayo nikaachana nawo na saiz nina maisha yangu wameanza kujisogeza polepole nasubiri siku ya kuawaambia tuu
 
Huyo katumwa 2,shemejio ndo hakutaki hapo,ndo maana kamtumia mdogo wake ili kupata sababu utimuliwe!!!😀
 
@The Boss In Town inaonekana ulifanya makosa 2 makubwa sana, 1 ni kufanya kazi nusunusu, yaani kumuacha avae na aondoke bila kugonga maana utafiti unaonyesha mwanamke hawezi kujiumbua kwamba kaliwa labda kama maslahi ya kuliwa yatamlipizia kisasi (90%) 2. Ni kukubali kwa mbele ya baba na kaka makosa yako na kuanza kuhalalisha kwa kujitetea eti alikuwa anakutega, ulitakiwa umkane mwanzo mwisho aumbuke yeye. Na hata kama hawatokuamini watabaki wanajutia na kujua ni hila za upande wa mke wa bro.
Yameshatokea ufanye nini sasa: Achana na ndoto za kumtegemea kaka, umiza kichwa chako uanze upya, ukiwa na hela sio tu kuwa kaka yako atakuelewa bali hata huyo aliyekuumbua atakupigia goti.
Anagalizo: Yawezekana umefukuzwa hapo nyumbani kwa sababu huyo shemeji yako nae analiwa na kaka yako, mgogoro wa kimaslahi, umekuwa tishio la kula vya kaka, anaweza asikusamehe kwa muda mrefu hivyo sahau kabisa kwamba yupo
 
When the deal is too simple think twice...pepo wa ngono hana adabu lakini usijali..

Hapo cha msingi ni kujituliza,jipe mda wa kutuliza fikra zako usiwaze mabaya wala usimchukie mtu.

wote wasiokuelewa wape mda.kaa mbali kwa mda na familia yako,vunja mawasiliano kwa mda,then watafute wazee huko kwenye asili yenu(kijijini,mjini popote)wazungumze na baba atakuelewa.

Kingine jitahidi sana kujijenga kiuchumi watakuelewa tu.

Kuhusu huyo mdada mpe mda wa kimtosha mkiendelea kuwa hai ipo siku atalipwa stahili zake.

umemshauri vizuri sana
 
Shemeji yako kiboko, miezi miwili tu kaona mingi! Wanawake ubinafsi utatuua... kwani huyo mdogo wake ana muda gani hapo?
 
Kutegwa kupo ila kukwepa mtego kunawezekana japo hakukupi uhakika wa kukwepa lengo la mtego. Kisa cha Yusufu na mke wa Potifa, japo Yusufu alikwepa mtego wa kulala na yule mama bado kusingiziwa ubakaji kulibaki palepale na aliswekwa gerezani. Huyu shemeji yako yawezekana huwa anamtega kaka yako sasa kuwepo kwako kulimharibia mikakati yake, maana huyo kaka angeweza kukuondoa nyumbani kuepusha matukio mengine na sio kuukata msaada wake ambao anatambuwa unauhitaji. Ana wivu kwa shemeji yake kama mkewe.

Ushauri: Time will tell, pambana na maisha na usikubali kutegwategwa hovyo utasingiziwa kesi za ajabu ukipenda kuparamiparamia wadada wenye nguo fupi.
 
Ungemtongoza kwanza, kutegwa sio coupon ya kumt.....mba bure. Shake well before use. We unavamia tu. Maisha yangu yote simuamini MWANAMKE
 
Inaitwa funga kalomo hiyo umetolewa kiaina ulipoonyeshwa matiti ukapagawa hukujua "don't count until the deal is done"mchawi wako shemejio na kaka yako kashikwa masikio na wewe mwenyewe umejidhalilisha kuleta uzi hapa coz kama unajua hukutaka kumbaka why ushindwe kutambua kuwa it was a set up?
mpaka uje kuomba ushauri?
 
Back
Top Bottom