Naomba ushauri: Binti amenidhalilisha sana

Naomba ushauri: Binti amenidhalilisha sana

iyo ni mbinu tu ya kukuondoa apo pengine mdogo mtu asingekuwepo shemejiyo ndo angejitoa kusingizia kubakwa
 
Duuu!!huo utakuwa ulikuwa mtego wa kukufukuzisha hapo ila we hukujua kwa tamaa yako ya fisi ukauvaa mkenge!!pole sana.

mara nyingi mashemeji hawapendi mabwana zao wapende ndugu zao wanapenda upande wao ndo upendwe zaidi amini usiamini hata dingi atatoswa hapo
 
Rudi ukambake na kifiro juuu hasira lazima zitakuishaaa
 
Shemeji yako anaonekana ana hila na wewe. Kukaa kwa ndugu walioanza familia ni kitu kibaya sana, na kwa maisha ya sasa hivi, ndugu zako watakuchukulia poa. Lakini upande mwingine utakuchukulia vibaya hasa upande wa aliyeolewa/aliyeoa kwa ndugu yako.

hili nalo neno,katika maisha ya sasa epuka sana maisha ya kuegesha kwa mtu kama hakuna sababu za msingi,unaweza kwepa gharama katika jinsi flani lakini still ukajikuta umeingia ghalama katika style nyingine...alikwepa gharama "in monetory form but he paid it by complomising his status"
 
Kwa ufup shemej mke wa kaka yako hakutak kwake, ndo maana akaona apange mipango ya kukung'oa kupitia kwa mdogo wake

Sioni wa kulaumu zaidi ya yeye mwenyewe angekuwa na msimamo yote hayo yasingetokea mtu kuvaa nguo fupi si kwamba anakitaka wewe huko barabarani basi anaweza baka watu au hata anaweza baka punda kisa ana hips
 
hiyo ni mbinu ya kukutoa hapo.. ila penye ukweli uwongo hujitenga.. piga mishe zako bosss... one day yes...!!! ukweli utajulikana tu
 
Huyo na Dada yake walishapanga nmna ya kukupndoa hapo, halafu kaka yako naye anaingia kichwakichwa tu! walishamtengeneza! pole.
 
Sioni wa kulaumu zaidi ya yeye mwenyewe angekuwa na msimamo yote hayo yasingetokea mtu kuvaa nguo fupi si kwamba anakitaka wewe huko barabarani basi anaweza baka watu au hata anaweza baka punda kisa ana hips

Tulienfaga Mikumi National Park na jamaa mmoja hivi, wakati tunatembezwa site mbalimbali za wanyama tofauti tukawa tumewafikia Punda Milia, unajua huyu jamaa alisemaje? Eti hawa wanyama yaani punda milia kwa hayo mahips wangekuqa bi adamu ingekuwa hatari!!!!!!!!!
 
Tamaa yako ilikuponza......
Nguo alizovaa alikuambia anakuvalia wewe mpaka ukaa-assume kuwa anakutega???

Kwa kuwa yashatokea kaza moyo.
Upepo ukipita zungumza na ndugunzako

Siku nyingine ujifunze kudhibiti mihemko
 
Duuu!!huo utakuwa ulikuwa mtego wa kukufukuzisha hapo ila we hukujua kwa tamaa yako ya fisi ukauvaa mkenge!!pole sana.

Tena mtego wenyewe ulifanywa na dadake..inaonekana hutakiwi..my be hiyo biashara ya samaki inaingiza kipato so ndo unarodyishwa hivyo!
 
Tafadhari ni PM number ya huyo binti nikusaidie kuweka mambo sawa na ndugu watakuamini tu.
 
Hii forum sio ya kupunguzia hasira, social media special kwa kupunguzia hasira na mi-frustrations ni blog, anzisha blog yako ili upumulie huko!!
 
Omba kukutana na baba yako na kaka yako kwa wakati mmoja, elezea ukweli mtupu ikiwemo wewe kudhani mrembo alikuwa anakukaribisha kwa kutumia body language nawe kufanya uliyoyafanya. Kisha uombe msamaha kwa makosa yako na kuahidi hilo kosa hutarudia tena.
 
Back
Top Bottom