Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,816 Reaction score 110,069 Jan 26, 2024 #41 Mabinti ambao wamelelewa pasi uwepo wa baba huwa wakaidi sana kwa mwanaume, kuwa makini...
Ahyan JF-Expert Member Joined Jun 7, 2019 Posts 2,702 Reaction score 6,332 Jan 26, 2024 #42 Vocal Fremitus said: Nachukiaga sana pisi zenye lugha za command! Aargh!!! Click to expand... Yaani hawafai, huwa wanajikuta maisha wameyapatia na kujikuta wanamaamuzi ya kishujaa na hawapendi kuwa chini... Si watu wakujenga nao familia
Vocal Fremitus said: Nachukiaga sana pisi zenye lugha za command! Aargh!!! Click to expand... Yaani hawafai, huwa wanajikuta maisha wameyapatia na kujikuta wanamaamuzi ya kishujaa na hawapendi kuwa chini... Si watu wakujenga nao familia
Lucha JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 20,347 Reaction score 62,353 Jan 26, 2024 #43 Siku ukipata nae watoto nae atawafundisha watoto wenu hivyohivyo kuwa baba wa nini
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,825 Reaction score 113,411 Jan 26, 2024 #44 Unaanza kuona mauza uza ya familia yao mapema kabisa.
T The Lastdream JF-Expert Member Joined Jan 23, 2024 Posts 1,952 Reaction score 4,629 Jan 26, 2024 #45 Huyo baba yake mvulana tu aliyekuwa na uume akakimbia majukumu. Mabinti wengi wamepitia hizi changamoto hata watoto wakiume.
Huyo baba yake mvulana tu aliyekuwa na uume akakimbia majukumu. Mabinti wengi wamepitia hizi changamoto hata watoto wakiume.
T The Lastdream JF-Expert Member Joined Jan 23, 2024 Posts 1,952 Reaction score 4,629 Jan 26, 2024 #46 Watu8 said: Mabinti ambao wamelelewa pasi uwepo wa baba huwa wakaidi sana kwa mwanaume, kuwa makini... Click to expand... Wacha tu wawe wakaidi baba alikuwa na vitoto vya miaka 18 hakuwa na muda kabisaš¤£š¤£
Watu8 said: Mabinti ambao wamelelewa pasi uwepo wa baba huwa wakaidi sana kwa mwanaume, kuwa makini... Click to expand... Wacha tu wawe wakaidi baba alikuwa na vitoto vya miaka 18 hakuwa na muda kabisaš¤£š¤£