Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

Mkuu habari yako, Hongera sana kwa Biashara zako unazifanya.

Mkuu nimekua nikifanya biashara nyingi sana mfano nilifuga kuku kama 800 nikaangukia pua nimebaki tu na cage mpaka sasa, limelima kwa miaka kama mnne hivi mazao mbalimbali naangukia pua,najaribu kuangallia kitu ambacho nitakifanya mwenyewe muda baada muda wa kazini , muda wa weekeend pia.

Swali langu.
Naweza nikafanya biashara au kazi gani baada ya muda wa kazi na siku za weekend? Mimi ni mkaguzi gvt kazini natoka saa tisa na nusu
 
Mkuu habari yako, Hongera sana kwa Biashara zako unazifanya.

Mkuu nimekua nikifanya biashara nyingi sana mfano nilifuga kuku kama 800 nikaangukia pua nimebaki tu na cage mpaka sasa, limelima kwa miaka kama mnne hivi mazao mbalimbali naangukia pua,najaribu kuangallia kitu ambacho nitakifanya mwenyewe muda baada muda wa kazini , muda wa weekeend pia.

Swali langu.
Naweza nikafanya biashara au kazi gani baada ya muda wa kazi na siku za weekend? Mimi ni mkaguzi gvt kazini natoka saa tisa na nusu

Samahani mkuu simaanishi kukujibu ama kusimama badala ya
ONTARIO lkn natamani kushare na wewe pengine kabla ya mtoa UZI kuja kujibu....
naona kama changamoto inayokukabili ni usimamizi yaani usimamizi ni hafifu.. ntakupa mfano. kuna dada yangu mmoja alilima vitunguu sasa akawa anawaamini sana vijana wa kumwagilia shamba.. kumbe wanampiga sana yaani ekari moja inayotumia mafuta lita 6-8 wao walikuwa wanamuambia ni lita 24 na bila yeye kujua anatoa tuu.. sasa hapa baada ya kufanya mjumuisho akajikuta anatumia mafuta mengi balaa na gharama kubwa balaa.. ila safari hii kasimama mwenyewe na kapiga faida nzuri tuu.. kwa hiyo wewe unaweza kujitoa kuwa mkulima ama mfugaji lkn watu wakaanza kuku-let down kama hauko makini... sasa ushauri wangu ni kwamba usiache kuwekeza katika miradi yako lkn kuwa makini sana na wasimamizi mkuu.. {hata kama ni ndugu ama wife wako ;););)}

karibu tulime na kufuga mkuu- jembe halijawahi kuwa na historia ya kumtupa mkulima...
 
Samahani mkuu simaanishi kukujibu ama kusimama badala ya
ONTARIO lkn natamani kushare na wewe pengine kabla ya mtoa UZI kuja kujibu....
naona kama changamoto inayokukabili ni usimamizi yaani usimamizi ni hafifu.. ntakupa mfano. kuna dada yangu mmoja alilima vitunguu sasa akawa anawaamini sana vijana wa kumwagilia shamba.. kumbe wanampiga sana yaani ekari moja inayotumia mafuta lita 6-8 wao walikuwa wanamuambia ni lita 24 na bila yeye kujua anatoa tuu.. sasa hapa baada ya kufanya mjumuisho akajikuta anatumia mafuta mengi balaa na gharama kubwa balaa.. ila safari hii kasimama mwenyewe na kapiga faida nzuri tuu.. kwa hiyo wewe unaweza kujitoa kuwa mkulima ama mfugaji lkn watu wakaanza kuku-let down kama hauko makini... sasa ushauri wangu ni kwamba usiache kuwekeza katika miradi yako lkn kuwa makini sana na wasimamizi mkuu.. {hata kama ni ndugu ama wife wako ;););)}

karibu tulime na kufuga mkuu- jembe halijawahi kuwa na historia ya kumtupa mkulima...
Mkuu kwa tarifa tu,miradi yangu nasimamia mwenyewe mara nyingi, mke wangu na kaka yangu ndio kazi yao kubwa, sipigwi kwenye cost,ila tu mradi unakua hauna manufaa, kwamfano nimelima vitunguu Ruaha kule kiasi cha ekatano, ofcoz ukungu ulipiga sana nimevuna gunia 60 hivi lakini hata mteja simpati now ni second week, nilifuga kuku nyumbani kwangu Kimara wa nyama mwenyewe bila kutegemea mfanya kazi nikakosa soko kabisaa mpaka nikauza kuku mmoja 2500 wanaofuga hawa viumbe wanajua hasara yake. ni vitu vingi sana vilivyonitia hasara,ninahitaji kitu ambacho nitafanya mwenyewe preferbly of professional nitakachofanya mwenyewe kuanzia saa tisa na nusu mpaka usiku na siku za weekeend
 
Mkuu kwa tarifa tu,miradi yangu nasimamia mwenyewe mara nyingi, mke wangu na kaka yangu ndio kazi yao kubwa, sipigwi kwenye cost,ila tu mradi unakua hauna manufaa, kwamfano nimelima vitunguu Ruaha kule kiasi cha ekatano, ofcoz ukungu ulipiga sana nimevuna gunia 60 hivi lakini hata mteja simpati now ni second week, nilifuga kuku nyumbani kwangu Kimara wa nyama mwenyewe bila kutegemea mfanya kazi nikakosa soko kabisaa mpaka nikauza kuku mmoja 2500 wanaofuga hawa viumbe wanajua hasara yake. ni vitu vingi sana vilivyonitia hasara,ninahitaji kitu ambacho nitafanya mwenyewe preferbly of professional nitakachofanya mwenyewe kuanzia saa tisa na nusu mpaka usiku na siku za weekeend
Duh comment kama hizi huwa zinafunja moyo yani kila nnchotaka kuanza na ogopa,ukilima shida,kufuga shida,duka shida,duh yani kila kitu ka kubet vile
 
Mkuu habari yako, Hongera sana kwa Biashara zako unazifanya.

Mkuu nimekua nikifanya biashara nyingi sana mfano nilifuga kuku kama 800 nikaangukia pua nimebaki tu na cage mpaka sasa, limelima kwa miaka kama mnne hivi mazao mbalimbali naangukia pua,najaribu kuangallia kitu ambacho nitakifanya mwenyewe muda baada muda wa kazini , muda wa weekeend pia.

Swali langu.
Naweza nikafanya biashara au kazi gani baada ya muda wa kazi na siku za weekend? Mimi ni mkaguzi gvt kazini natoka saa tisa na nusu
Cage bado unazo baada ya kusimama kufuga?
 
Hii ndio biashara yenye liquidity kubwa kuliko biashara nyingine yoyote duniani. Kwa siku Dollar trillion 5 zinazunguka kwenye forex trading. Sidhani kama kuna tajiri yoyote mkubwa asiyefanya hii kitu, banks zote unazoziona hapa duniani wanafanya hii kitu, hela zetu tunazowapa kupitia fixed account wanazitupilia huko kwenye forex, hii mikopo ni geresha tu.

Kifupi ni kutrade pesa za kigeni... siongelei bureau exchange hapa.

Tafuta kitabu kinaitwa currency trading for dummies, utapata mwanga.
Nielekeze vizuri hivi mfano nakachange tsh into dollars nmb bank then nikachukua dollar zangu nikaenda Crdb nikachange into yen tena sikuhihiyo nikaenda exim bank nikabadili yen into paundi nikamalizia kwenda baclays bank nikabadili paundi into tsh mwishoni nikaangalie fedha niliyoiingiza kwenye mzunguko tsh na fedha niliyonayo baada ya mzunguko tsh . tofauti ndio faida . Hivi hiki ndio kitu unachokizungumzia au?

Naomba unijibu please
 
je vipi kuhusu ufugaji wa kuku na faida yake?naomba pia nipe changamoto zake
 
MKUU
QUIGLEY MOROGORO SEHEMU GANI/WILAYA GANI? KWA EKAR WANAKODISA KWA SHILINGI NGAPI? TUNAOMBA CONNECTION MKUU I
Karibu na kiwanda cha mtibwa, kuna mashamba ya kukodi kwa 70,000 hadi 120,000 inategemea shamba lina fursa gani mfano maji ya mto nk.
 
Back
Top Bottom