Time Traveller
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 314
- 302
Ontario vipi kuna kuku unafuga kwa kutumia cages??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AKIJA MTEJA MZURI NAUZA, NAUZA KWA MILIONI 7 ZOTE KWA PAMOJA, ALAFU NI FURSA NZURI SANA KWA KUHIFADHIA VITUNGUU, YAANI KUNA ILE MIEZI WANAVUNA VINGI THEN UKAHIFADHI KWENYE CAGE ZILE UKAPIGA PESA KIPINDI CHA UHABA WA VITUNGUU MWEZNI WA NNE,TANO NA SITA MWANZONIHutegemei kuziuza?
Fanya kununua mazao msimu wa mavuno kama mahindi, mpunga ,vutunguu na kuleta sokoni. Una angalia bei ikoje sokoni halafu unajumua shamba unaleta dar .Mkuu kwa tarifa tu,miradi yangu nasimamia mwenyewe mara nyingi, mke wangu na kaka yangu ndio kazi yao kubwa, sipigwi kwenye cost,ila tu mradi unakua hauna manufaa, kwamfano nimelima vitunguu Ruaha kule kiasi cha ekatano, ofcoz ukungu ulipiga sana nimevuna gunia 60 hivi lakini hata mteja simpati now ni second week, nilifuga kuku nyumbani kwangu Kimara wa nyama mwenyewe bila kutegemea mfanya kazi nikakosa soko kabisaa mpaka nikauza kuku mmoja 2500 wanaofuga hawa viumbe wanajua hasara yake. ni vitu vingi sana vilivyonitia hasara,ninahitaji kitu ambacho nitafanya mwenyewe preferbly of professional nitakachofanya mwenyewe kuanzia saa tisa na nusu mpaka usiku na siku za weekeend
Asante sana mkuu kwa ushauri,ila naona uletaji mazao mjini inahitaji kidogo uwe na godown in case hujapata mteja wa kununuaFanya kununua mazao msimu wa mavuno kama mahindi, mpunga ,vutunguu na kuleta sokoni. Una angalia bei ikoje sokoni halafu unajumua shamba unaleta dar .
nikitaka kupata faida nzuri kidogo, nianze na mtaji kiasii gani?Laki 3 kwa sasa haitakufikisha sehemu boss, kama ungekuwa na vifaa say feeders, drinkers nk ungeweza kuanza na japo broilers 50. Napo faida itakua kiduchu sana
Nimekuelewa hapa acha tu..**Kutokuwa na taarifa sahihi - mtu anasikia biashara ya tikiti maji inalipa haswa, kesho anaingia shamba kulima tikiti, hajui chochote ye anawaza akivuna atapiga faida Milioni kadhaa.
**Mitaji ya kuunga unga - unakuta mtu ana mtaji mdogo lkn anataka afanye biashara kubwa ili apate faida kubwa, anaishia kuteketeza kile kdg alichonacho.
**Kutokujua principles za biashara kama uvumilivu - mtu anaanza biashara asubuhi anataka jioni aone faida. Au unakuta mtu kuyumbishwa kdg tu na upepo anaamua kuacha kabisa biashara.
Kwanza pole sanaMkuu kwa tarifa tu,miradi yangu nasimamia mwenyewe mara nyingi, mke wangu na kaka yangu ndio kazi yao kubwa, sipigwi kwenye cost,ila tu mradi unakua hauna manufaa, kwamfano nimelima vitunguu Ruaha kule kiasi cha ekatano, ofcoz ukungu ulipiga sana nimevuna gunia 60 hivi lakini hata mteja simpati now ni second week, nilifuga kuku nyumbani kwangu Kimara wa nyama mwenyewe bila kutegemea mfanya kazi nikakosa soko kabisaa mpaka nikauza kuku mmoja 2500 wanaofuga hawa viumbe wanajua hasara yake. ni vitu vingi sana vilivyonitia hasara,ninahitaji kitu ambacho nitafanya mwenyewe preferbly of professional nitakachofanya mwenyewe kuanzia saa tisa na nusu mpaka usiku na siku za weekeend
1. Kupanua uzalishaji wa Bidhaa maana yake ni kua bidhaa unazozalisha ni chache kuliko mahitaji ya clients wako. Kama bado unastruggle kupata clients, njia 1 na rahisi ni kuadd new features kwenye product yako ambayo wengine hawana, hata aina ya packaging pekee inaweza kukutofautisha, pia kuangeza quantity kwa bei ile ile.
Unajua kwenye biashara kitu cha kwanza kbs ni kuWin people's hearts, then ukitoka hapo ndio uanze kufikiria kutengeneza faida. Kama hauna consistent clients hauwezi kutoa products zako hivyo hauwezi kutengeneza faida. Kwahiyo uwe tayari kuingia gharama za kuwavutia wateja ambayo wazungu wanaita 'client acquisition'.
2. Mimi nahisi kwa products zako soko la ndani lenyewe ni kubwa sana, nahisi bado haujafanya utafiti wa kutosha. Lkn again sio mbaya kuingia kwenye soko la nje kama upo tayari.
Mimi mwaka jana nilivuna vitunguu November, lkn soko la bongo lilikuwa ovyo mno mno. Ukienda Kkoo na Buguruni bei ni elfu 70-80 wakati kipindi kama hiko mwaka 2015 bei ilikua 180k. So nilichokifanya ni kuuza Kenya, nilienda kwa bus hadi Nairobi, nikakutana na madalali wakanipa dira na kila kitu. Baadae nilivuna na kuuza mzigo wangu Garissa krb na mpaka wa Somalia kusini mwa kenya mbapo niliuze kwa bei mara 3 ya iliyokuepo bongo.
Asante mkuu kwa ushauri wakoKwanza pole sana
Mkuu kilicho kuangusha ni soko, ulianza miradi bila kuwa na soko la uhakika.
Wengi huwa tunafeli hapo na hata hizi taarifa tunazopeana kwenye mitandao kuhusu ufagaji na kilimo utakuta tuna ongelea zaidi gharama na faida lakini Mara chache mno watu wataongelea soko kwa undani.
Rudi tena kwenye miradi mkuu Ila Safari hii anza kwanza kulijua soko vizuri la kitunguu na kuku. Uzuri mkuu Ontario kajitolea kuunganisha watu na soko la uhakika la kuku.
Kingine kwenye kilimo jifunze ni wakati gani soko linakuwa limejaa zao husika kwa maana wakulima wengi wanakuwa wanavuna na wakati gani zao linakuwa halipatikani kwahiyo wewe hakikisha unalima ili uvune kipindi ambacho zao husika (kitunguu) halipo kwa wingi sokoni. Ila hapa nitoe angalizo, Mara nyingi kulima ili uje kuvuna kipindi ambacho kitunguu kipo kichache sokoni huwa kuna Changamoto sababu Mara nyingi huwa ni msimu ambao Hali ya hewa hairuhusu kitunguu kustawi Kama wewe ulivyo kumbwa na ukungu Ina maana ulilima kipindi ambacho sio favorable kwa kitunguu, kwahiyo kipindi hili inabidi uwe na uangalizi wa Hali ya juu mnoo, ukifanikiwa kuvuna hata gunia 60 kwa ekari kipindi hiki umetusua
Kila la kheri
Aluta continua
Mapambano yanaendelea
Daah....
Wakuu vipi kuhusu fursa ya kubeti....
Kwamba nina mtaji wa laki mbili mfano, nauingiza kwenye kubeti..
Sababu kubeti, biashara na ujasiriamali zote ni risk tu.
Ndio ndio
Alishakataa hiyo kitu! Ukipitia comments za mwanzo kuna Jamaa aliomba hiyo formula!
Mwenyewe natamani hata akipatikana mtu wa uhakika nimlipe anifundishe
Mkuu kwa tarifa tu,miradi yangu nasimamia mwenyewe mara nyingi, mke wangu na kaka yangu ndio kazi yao kubwa, sipigwi kwenye cost,ila tu mradi unakua hauna manufaa, kwamfano nimelima vitunguu Ruaha kule kiasi cha ekatano, ofcoz ukungu ulipiga sana nimevuna gunia 60 hivi lakini hata mteja simpati now ni second week, nilifuga kuku nyumbani kwangu Kimara wa nyama mwenyewe bila kutegemea mfanya kazi nikakosa soko kabisaa mpaka nikauza kuku mmoja 2500 wanaofuga hawa viumbe wanajua hasara yake. ni vitu vingi sana vilivyonitia hasara,ninahitaji kitu ambacho nitafanya mwenyewe preferbly of professional nitakachofanya mwenyewe kuanzia saa tisa na nusu mpaka usiku na siku za weekeend