Naomba unishauri nikasomee nini kwenye Masters degree

Naomba unishauri nikasomee nini kwenye Masters degree

Nenda kasome applied mathematics mkuu... Huko utasoma kuanzia uchumi, mpaka finance ila katika ulimwengu wa mathematics!!

Ukikosa applied kasome pure mathematics!!
mawazo mazuri haya, tutayafanyia kazi panapo majaaliwa
 
Ningekushauri ukasomee walau diploma ya Business administration na certificate ya law ili uwe smart kusimamia biashara zako ulizofungua baada ya kumaliza degree yako ya kwanza ila kama umeamua kwenda kujiongezea sifa ya kuendelea kutumwa na akina msukuma OK!nadhani umenielewa mkuu kila la kheri.
 
mkuu kwa kweli unasikitisha sana! hii ni sawa na kusema maishani mwako huna plan yyte
 
Habarini wana JF wenzangu...

Mimi ni mwalimu wa "Mathematics" ambae katika degree yangu ya kwanza nilispecialize katika Maths lakini pia nilikua na courses zingine kama Educational Psychology (EP), Curriculum (CT), Educational Measurement and Evaluation (EP) n.k

Sasa nipo njiapanda sielewi nikasome nini katika Masters degree kati ya Maths au hizo courses zingine za elimu (zipo nyingi unaweza nitajia moja ambayo ungenishauri nikaspecialize).

Naomba ushauri wako nikasomee nini hasa kwakuzingatia ipi inauzika yaani "Marketable" hapo baadae baada yakumaliza hio masters degree.

Na vipi kuhusu chuo ungenishauri nakasome chuo gani, degree yakwanza nimesoma UDSM

Natanguliza shukurani.
Soma Msc Mathematics. Itakubeba sana!
 
Kuna jamaa alitumbuliwa kwenye sakata la vyeti feki akiwa na PHD !
 
MBA ndio habar ya mjini ndugu, kozi nyingine utakujaga kulahumu watu bure huko mbeleni
 
inaonekana hata Bachelor yenyewe ulisukumiziwa tu kama Magu alivyosukumiziwa Urais. Graduate mzima unatafuta ushauri wa kitoto hivi?
 
and politics
Politics yes but politics tutaisoma mtaani. The important things are money, laws, and business management. Mtu bachelor una education, unataka na master uwe na education what for?
Mi nadhan jamaa jiandae na mambo mengine pia out of education even if you plan to invest in education you have to know how to invest wisely, ML&E so MBA tena ya mzumbe DSM au nje ya Tanzania will do good.
Au kama una good connection ya donors kasome Project management and evaluation utakula maisha mema
 
Nenda kasome applied mathematics mkuu... Huko utasoma kuanzia uchumi, mpaka finance ila katika ulimwengu wa mathematics!!

Ukikosa applied kasome pure mathematics!!
Pure mathematics itamchomoa Sasa akisoma hiyo dar atakuja fanya nini wakati Hakuna research
 
Habarini wana JF wenzangu...

Mimi ni mwalimu wa "Mathematics" ambae katika degree yangu ya kwanza nilispecialize katika Maths lakini pia nilikua na courses zingine kama Educational Psychology (EP), Curriculum (CT), Educational Measurement and Evaluation (EP) n.k

Sasa nipo njiapanda sielewi nikasome nini katika Masters degree kati ya Maths au hizo courses zingine za elimu (zipo nyingi unaweza nitajia moja ambayo ungenishauri nikaspecialize).

Naomba ushauri wako nikasomee nini hasa kwakuzingatia ipi inauzika yaani "Marketable" hapo baadae baada yakumaliza hio masters degree.

Na vipi kuhusu chuo ungenishauri nakasome chuo gani, degree yakwanza nimesoma UDSM

Natanguliza shukurani.
Mkuu habar , na mimi nina ishu kama yako nina Bsc ed na nilichukua mathematics naomba ushauri Msc gani ni nzuri boss
 
Back
Top Bottom