Naomba ufumbuzi wa hili tatizo

Naomba ufumbuzi wa hili tatizo

NB:
1.Azingatie usafi,ikiwemo kubadilisha Nguo ya ndani pichu,asikae nazo muda mrefu.
2.aache kutumia pichu za mpira atumie cotton.
3. Usafi katika kujisafisha yeye mwenyewe kwenye nyeti zake,asijafishe vizuri maji safi na Salama.
4. Kama kuna sabuni au kitu chochote cha kemikali au viunga vyovyote vya kubana Bibi ake aache,hivo pia vina sababisha kutoa harufu kali.
5. Hizo njia hapo juu ni za asili,dare her to use any chemical kwa bibi ake,ataoata madhara zaidi.
Hamjachelewa bado,mwambie atumie sana sana mchaichai kunawa na punje za vitunguu swaumu kumeza within a week tatizo litaanza kupungua. Mengine mkiona vitawasaidia leteni feedback but wengine ninao washauri hayo tatizo huwa zinakwisha kabisa.
pichu ndo nn bana?
yaani ungetamka jina lake halisi dushee lazima isimame sijui nina nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakushauri uende kwenye jukwaa la jf doctors unaweza pata msaada zaidi, huku leta mada za kumwaga uno, kutemwa etc etc.
 
Mzee baba hongera kwa kumsaidia na kumjali demu wako,

Wanaume wengine wasingeweza haswa wale watoto wa mama, mayai mayai / mabishoo...

Big up bro
hebu tafuta kwa njia ya mtandao / Google / ujue tatizo ni nini....??
Na tiba yake ni ipi ......??
sasa mkuu umeshindwa kutoa ushauri mpaka ututanie mabishoo........ tuombe radhi bhana..!!!!
 
Poleni, wewe ni mstaarabu ngoja niwasaidie hivi
1. Ale punje za kitunguu swaumu kila siku asubuhi na jioni,azimeze.
2. Anywe Juice ya mananasi.
3. Atumie mchaichai,auloweke na maji ya moto yakipoa kabisa anawe kwa bibi ake,sio hukata harufu tu utaona na mengine pia mazuri.
4. Maji yaliyolowekewa sufuria ya ugali.
Kati ya njia hizo moja wapo huondoa kabisa tatizo.
Ndiyo maana mnanuka papuchi zenu!mnaweka vitu vya ajabu sana!fika hospital achunguzwe.....watoe ute ukeni waoteshe wadudu kitaalam....watabaini aina ya wadudu na dawa ya kutumia...ukihitaji msaada ni PM. ......wasikupotoshe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hiyo harufu ya kumke isiyoweza kuvumilika hadi kuombana ushauri ikoje? From what I know kule chini kuna kiaroma chake fulani hivi ambacho kwangu mie hakinisumbui.
 
Ndiyo maana mnanuka papuchi zenu!mnaweka vitu vya ajabu sana!fika hospital achunguzwe.....watoe ute ukeni waoteshe wadudu kitaalam....watabaini aina ya wadudu na dawa ya kutumia...ukihitaji msaada ni PM. ......wasikupotoshe!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Mimi mwenye tatizo and by the way Hivyo vyote nilivyoorodhesha ni kumtahadharisha mtu aliomba msaada. Kama kusoma shida kwako unadhani huko pm utasema nini zaidi ya kumwambia aweke funza.
 
Sio Mimi mwenye tatizo and by the way Hivyo vyote nilivyoorodhesha ni kumtahadharisha mtu aliomba msaada. Kama kusoma shida kwako unadhani huko pm utasema nini zaidi ya kumwambia aweke funza.
Utakuwa unanuka k. .....a....si bure.....unadhani kwa vitunguu swaumu unavyotumia harufu itaisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuwa unanuka k. .....a....si bure.....unadhani kwa vitunguu swaumu unavyotumia harufu itaisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sijawahi ijaribu ya vitunguu,but nasikia vinasaidia. Sasa kama utawaza hayo basi ongezea na mengine unayoyajua wewe Ili mada izidi kukolea. But what I know,you such a jer.k unaetafuta tension and I give nothing to any dumb. By the way kama unaona atafaidi sana basi na wewe unaweza kuvila
 
Back
Top Bottom