Je kama mfanyakazi na una uanachama NSSF,PPF etc. Je kuna uwezekano wa kuhama uanachama sehemu moja na kwenda kwingine? kwa mfano: UPO PPF na UNATAKA KUHAMIA NSSF; Pia kama kuna sheria husika naomba kujulishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.