MMMH MKUU MTU ANAUMWA FIGO UNAMSHAURI AKATE KILEVI???!Kula sana kinywaji figo zichuje safari bariidi kila siku pia usisahau juisi ya miwa matango
Epuka madhambi!Ni mateso makubwa sana inapokukuta hii... msaada wa anayejua nini cha kufanya au kunywa kulinda figo zisifeli
Pendelea kunywa juice ya nyanya glass moja kutwa mara tatu.niliona sehemu akielezea jinsi nyanya ilivyo tiba.kula nyanya kama matunda mara kwa mara.punguza matumizi ya chumvi nyingi na mafutaNi mateso makubwa sana inapokukuta hii msaada wa anayejua nini cha kufanya au kunywa kulinda figo zisifeli