Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
kwenye habari za kimatafita nimekuwa nikisikia Ugiriki ilikaribia KUFILISIKA( BANKCRUPCY). Ujerumani ikaingia kuokoa jahazi.
Je wataalamu wanaweza kunieilewesha kwa lugha nyepesi nini sababu ya taifa kufilisika ??na na nini maana na maneno kama BUDGET DEFICiT( Nakisi ya bajet) . Uhusiano wa mambo kama govermnent spending/ borrowing na economic health ya nchi na thamani ya pesa ya nchi na masuala mengine yanyofanana na hayo ili nipate mwanga kwenye hizi termilogy za kiuchumi.
Naamini japo kaelimu ka haya masuala kidogo kanaweza kunipa mwanga wa kuchambua bajeti yetu inayokaribia kiundani zaidi.
Natanguliza shukrani.
Je wataalamu wanaweza kunieilewesha kwa lugha nyepesi nini sababu ya taifa kufilisika ??na na nini maana na maneno kama BUDGET DEFICiT( Nakisi ya bajet) . Uhusiano wa mambo kama govermnent spending/ borrowing na economic health ya nchi na thamani ya pesa ya nchi na masuala mengine yanyofanana na hayo ili nipate mwanga kwenye hizi termilogy za kiuchumi.
Naamini japo kaelimu ka haya masuala kidogo kanaweza kunipa mwanga wa kuchambua bajeti yetu inayokaribia kiundani zaidi.
Natanguliza shukrani.