Wajuzi naomba mwenye utaalamu wa masuala ya uchumi atupe maana ya uchumi wa kati, maana nachanganyikiwa. Benki ya Dunia imesema tumeshaingia kwenye uchumi wa kati, Kikwete amesema uchumi wa kati uliopangwa na Mkapa wa 2025 ni kufikia wastani wa kipato cha dola 3,000 kwa kila mwananchi.
Baadaye akasema kilichofikiwa na Tanzania ni kipato cha dola 1,000. Ndugu zetu wataalam wa uchumi, hebu mtutoe tongotongo sisi Wajumbe
Baadaye akasema kilichofikiwa na Tanzania ni kipato cha dola 1,000. Ndugu zetu wataalam wa uchumi, hebu mtutoe tongotongo sisi Wajumbe