Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,402
- 40,307
Huu msemo unaosemwa na watu, kuwa maisha yanaanza ukiwa na miaka 40, una maana gani wakuu? Kwa sababu mimi nipo nipo tu, na nipo kwenye hiyo miaka na sijielewi elewi?
Karibuni kwa ufafanuzi.
Karibuni kwa ufafanuzi.