ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,140
- 3,767
Ni vipya vipya hatujui miaka 5ndio tutajua madhaifu yake,Sawa sawa, lakini haujajibu swali lake.
Mfano tako la nyani ni hybread zibatumia berti.zikiisha zinakuwa ni zaidi ya jini mafuta .hata watu wanajua leo baada ya miaka 5 ya utumiaji.
So ni mapema mnno kujibu swali lake.