Mr Mose
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 368
- 524
Habari za wakati huu naomba ufafanuzi kuhusu calculationa, vigezo, wajibu wa mwajiri na mwajiriwa juu ya malipo ya kiinua mgongo baada ya mwisho wa mkataba.
Kuna mdogo wangu anafanya kazi katika taasisi binafsi (shule ya secondary) kwenye mkataba wao wanadai wanatumia sheria ya kazi ya mwaka 2004. Katika kipengele fulani wanasema inabidi mwajiri amlipe mwajiriwa kiinua mgongo kila mwisho wa mkataba mkataba wao ni wa mwaka mmoja mmoja naombeni ufafanuzi ni kwa namna gani haya madai yanaweza kufafanuliwa kisheria
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mdogo wangu anafanya kazi katika taasisi binafsi (shule ya secondary) kwenye mkataba wao wanadai wanatumia sheria ya kazi ya mwaka 2004. Katika kipengele fulani wanasema inabidi mwajiri amlipe mwajiriwa kiinua mgongo kila mwisho wa mkataba mkataba wao ni wa mwaka mmoja mmoja naombeni ufafanuzi ni kwa namna gani haya madai yanaweza kufafanuliwa kisheria
Sent using Jamii Forums mobile app