Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,110
Toyota wanatengeneza magari USED?Magari mengi mjini hapa, yameharibiwa na hao mafundi ambao sio wataalamu.
Ni heri kupeleka toyota!
Toyota wanatengeneza magari USED?Magari mengi mjini hapa, yameharibiwa na hao mafundi ambao sio wataalamu.
Ni heri kupeleka toyota!
ME MWENYEWE NINALO JUZI KIDOGO NILIUZE NINUNUE NISSANI XTRAIL... JAMAA ALINIPA NISSAN XTRAIL NITEMBELEE KWA WIKI 2 MWANANGU ILINISHINDA IKABIDI NIMWAMBIE ANIRUDISHIE VITZ YANGU...kati ya gari nayojutia kuuza ni vitz clavia ,kigari kina roho ya paka ,hakina urafiki na garage mafuta kinanusa
nilipiga nacho route za upanga to ununio for five years..... kwa sisi tusiokuwa na pesa za kutosha hii ndio kimbilio letu
kama mtu anahitaji namshauri anunue tu hatajuta
Kweli kabisa mkuu. Na unakuta hawajawahi kumiliki hata bajaji zaidi ya kuishia kutengeneza tuu zinapoharibika. Kwakuwa analetewa vitz clavia 3 kwa siku na corola 1, basi anachukulia kuwa vitz zina matatizo sana. Ukiwasikiliza mafundi hautanunua gari kwani kila mmoja anaponda gari iliyomshinda kutengenezaKuna mafundi garage wajuaji ... kila kitu huwa wanakikosoa..
ME MWENYEWE NINALO JUZI KIDOGO NILIUZE NINUNUE NISSANI XTRAIL... JAMAA ALINIPA NISSAN XTRAIL NITEMBELEE KWA WIKI 2 MWANANGU ILINISHINDA IKABIDI NIMWAMBIE ANIRUDISHIE VITZ YANGU... MASHINE HAINA URAFIKI NA GEREJI WALA HAISUMBUI HUA NAENDA NAYO KUTOKA ARUSHA MWANZA MWANZA TO ARUSHA NA MASHINE INATEMBEA TU BILA SHIDA
kati ya gari nayojutia kuuza ni vitz clavia ,kigari kina roho ya paka ,hakina urafiki na garage mafuta kinanusa
nilipiga nacho route za upanga to ununio for five years..... kwa sisi tusiokuwa na pesa za kutosha hii ndio kimbilio letu
kama mtu anahitaji namshauri anunue tu hatajuta
Me i own it kama ina onekana hapo juu. Have been with it for 3+yrs.. Gari poa na zote engne capacity yake cc 1290. Ukiwa si mbahili kwenye service na haupo rough barabarani hasa barabara za makorongo una uhakika wa kukaa zaid ya miaka minne unafanya service ya kumwaga engne oil na gear box may be na brake... Hautagusa kwingne..mim hapa siwah hata sikia inagonga huko chini... Na ina mwonekano mzuri tofauti na vitz nyingne zote... Fuel consumption ipo poa... Sijajua kwa ambazo si za umeme maana yangu ni umeme kila kitu mpaka pad ya accelerator .. Ina torque nzuri ipo na space pia...
Nikiwa na 5mil. cash naweza pata gari kama hii kaka? Nina shida sana na usafiri. Nateseka.
Hivi kati ya vitz, passo, starlet unanishauri nitafute gari gani
Nashauri ununue vitz iko kisasa kati ya hizo lakini pia inadumu.Tatizo kubwa la hiyo gari ni Sterling rack.
Vitz toka lini ikawa strong?Kakutishiaje?? Kwamba inashida gani mkuu?? Mie sijawah kupata shida yoyote... Na gari ipo poa and very strong.. Matumiz yako ndo uzima wa gari yako.. Huijali lazima ikusumbue.
Vp na sie wa vijijin inaweza faa Kwa route fupfupi?Vitz clavia ni engine ya 2nz yani mfumo wa ist pale mbele wote ndio upo kweny vits clavia ina cc 1290 kiufupi safari ipo
Vp na sie wa vijijin inaweza faa Kwa route fupfupi?Vitz clavia ni engine ya 2nz yani mfumo wa ist pale mbele wote ndio upo kweny vits clavia ina cc 1290 kiufupi safari ipo