Naomba ufafanuzi kuhusu ajira 15,000 zilizotangazwa na serikali

salim kimosa

JF-Expert Member
Jul 5, 2016
390
362
Jamani wakuu nakumbuka Mh Rais alitangaza kuwa mwaka huu wa fedha atatoa nafasi za ajira 52000, leo nimeona kwenye gazeti kuwa nafasi zitakazotangazwa ni 15,000 , hebu mwenye taarifa ya nafasi zilizobakia kati ya hizo 52000 zitatangazwa lini au ndo imepita hiyo?
Naomba kujua wakuu
 
Mkuu , nimesikia kuwa wametangaza kwanza hizi 15000 kisha wataajiri tena baadae ili kukamilisha idadi ya 52000.
 
Hizi ajira za kwenye makaratasi.

jamani Wakuu nakumbuka Mh Rais alitangaza kuwa mwaka huu wa feha atatoa nafasi za ajira 52000, leo nimeona kwenye gazeti kuwa nafasi zitakazo tangazwa ni 15000 , hebu mwenye taarifa ya nafasi zilizobakia kati ya hizo 52000 zitatangazwa au ndo imepita hiyo. naomba kujua Wakuu
 
Back
Top Bottom