Raia Mtata
JF-Expert Member
- Feb 4, 2017
- 315
- 592
Habari zenu humu ndani.
Kutokana na changamoto za ufugaji wa hawa bata wadogo na matokeo ya vifo vya mara kwa mara, kuna kitu nahitaji kufahamu.
Je ni muda gani ambao hawa vifaranga wa bata watakuwa wamekomaa na kupona kwenye umauti? Wiki 2 au 3 au mwezi au miezi miwili baada ya kuzaliwa?
Kutokana na changamoto za ufugaji wa hawa bata wadogo na matokeo ya vifo vya mara kwa mara, kuna kitu nahitaji kufahamu.
Je ni muda gani ambao hawa vifaranga wa bata watakuwa wamekomaa na kupona kwenye umauti? Wiki 2 au 3 au mwezi au miezi miwili baada ya kuzaliwa?