hguy platnumz
Member
- Feb 23, 2020
- 74
- 43
Naomba ufafanuzi juu ya Mass Communication and Broadcasting
1. Unapataje mafunzo yake
2. Kiwango gani cha elimu s.t.d 7, 4m4, 4m6 au kivip
3. Chuo kipo wapi?
4. Vipi kuhusu ada
5. Unasoma kwa muda gani?
6. Kama kuna kipengele nimekisahau unaweza niongezea mdau
#Naomba kuwasilisha kwenu
1. Unapataje mafunzo yake
2. Kiwango gani cha elimu s.t.d 7, 4m4, 4m6 au kivip
3. Chuo kipo wapi?
4. Vipi kuhusu ada
5. Unasoma kwa muda gani?
6. Kama kuna kipengele nimekisahau unaweza niongezea mdau
#Naomba kuwasilisha kwenu